JB: NILILELEWA ‘KI-MAMA’ MAMA SANA!
![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EjoxSQJp2m4ykJRTSMK323KmX1JvGMvc92wpZasMeETX-UqeiWkgeekr6LP8ZR56WVpq8F9lZzDZSkXTCleCoPZ/jacobstevenjb.jpg)
Msanii nguli kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Jacob Steven Mbura ‘JB’. MKONO mmoja ulikuwa shavuni nikiendelea kusoma kitabu kipya cha ujasiriamali kilichoandikwa na mhamasishaji nguli barani Afrika wa watu kujikomboa na umasikini, Eric Shigongo kiitwacho Jinsi ya Kutoka Kwenye Umasikini Hadi Mafanikio kinachopatikana mitaani kwa bei nafuu, nikiinua kichwa mara kwa mara na kuangaza macho huku na kule...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo521 Jul
Video: Sana Black Ft Matonya — Mama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAhr9Zy4MQSYLrAzYSa8OysIWY7DrHRduc9H3ZRPESzNpjF8Bc-4dmWuL9poMhF3Lpev93UitFCTeJvkF85lV7Kx/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
RAY C: MAMA’ANGU ANAUMWA SANA
10 years ago
VijimamboHONGERA SANA MAMA MATRIDA MKAMA KWA KUJINYAKULIA NONDO
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Faiza: Kuwa Mama Poa Sana, Natamani Nizae Team ya Mpira!!
Mwigizaji wa filamu mwenye vituko vya aina yake, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto moja, aliezaa na Mbunge wasasa wa Mbeya mjini, ameyasema hayo akiwa visiwani Zanzibar kwenye mapumziko mafupi.
Mwigizaji huyu ambae mara kabdhaa amekuwa akijisifia kwa kuwa na FIGA nzuri akidai hata baada ya kuzaa bado umbo na mvuto wake bado upo pale pale amesema angekuwa na uwezo wa kipesa angezaa watoto wengi zaidi kiasi cha kufikisha idadi ya wachezaji wa timu ya mpira kwa sababu kuwa mama ni kitu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s72-c/images.jpg)
MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s1600/images.jpg)
Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qkiIHm0cVJM/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Thai Airways: Mama na watoto wake ni 'wanene sana' kukalia viti vya daraja la kwanza katika ndege
9 years ago
Bongo504 Sep
Picha: Mama Diamond na mama Zari walipokutana kwenye ‘state house’ ya Platnmuz