Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera wanaushirika KCU kwa kuondoa ‘mchwa’

CHAMA Kikuu cha Ushirika cha KCU (1990) Ltd cha mkoani Kagera kimefanya mabadiliko na kuitimua bodi iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti, John Binunshu kutokana na tuhuma za ufisadi. KCU ni kati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA

Meneja Mauzo wa Bayport, Lugano Kasambala (kulia) akitoa mchango na pole kwa Ester Jonas. SIKU chache zimepita kama nilipata kusikia maneno ya busara kutoka kwa Meneja Mauzo wa Bayport Financial Services Kanda ya Ziwa, Lugano Kasambala. Mkuu huyo wa taasisi hiyo inayojihusisha na mikopo hapa nchini alizungumzia kwa kina vita dhidi ya mauaji ya Albino inayoendelea kushika kasi hapa nchini. Kasambala alikoleza kile...

 

11 years ago

Mwananchi

Umoja wa Mchwa Mpesa

Hatimaye sebule ya waishiwa imehuishwa tena. Kwa kweli haijafanya kikao siku nyingi kutokana na wingi wa shughuli. Lakini, hatimaye ilibidi sisi waishiwa tuweke pembeni mihangaiko ya kutafuta angalau elfu tatu kwa siku ili kuwaongelea wasioridhika na laki tatu.

 

10 years ago

Habarileo

‘Mchwa’ fedha za umma kukiona

Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia OFISI wa Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeziagiza halmashauri zote nchini, kuanzia Julai Mosi, mwaka huu kuanza kutumia mfumo wa kielektroniki katika ukusanyaji wa mapato yote ya ndani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchwa wavamia ikulu Paraguay

Mchwa wamevamia ikulu ya Paraguay makaazi rasmi ya rais wa nchi hiyo na kutishia udhabiti wa jengo hilo la kihistoria

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera kwa Wazanzibari kuwahi fursa

Siku moja kabla na baada ya mwaka mpya nilikuwa Unguja. Kuna mazuri na yanayotia moyo nayaona yakifanywa na Watanzania wenzetu kule katika kuboresha utalii wa ndani na kuvutia watalii wa kutoka nje.

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu

Ni takriban siku 15 tagu kampeni zilipoanza rasmi kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kwa bahati nzuri hakuna matatizo makubwa ambayo yametokea hadi sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hongera Basata kwa kuonyesha makali

Niwapongeze Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kuonyesha wazi kusimama kidete kulinda utamaduni wa Mtanzania na sanaa kwa ujumla.

 

11 years ago

GPL

HONGERA ASHA BARAKA KWA KUTAMBUA HILO!

KWAKO,
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka. Pole na majukumu ya kazi zako za kila siku. Kwa muda mrefu sana hatujaonana, najua ni kutokana na mchakamchaka wa maisha ya kila siku. Asha Baraka. Najua una maumivu ya kupoteza jembe lako, mpiga tumba wa muda mrefu wa bendi yako ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ marehemu Masoud Mohamed ‘MCD’. Pole sana sister ‘angu. Ndiyo dunia, sote tu...

 

10 years ago

Vijimambo

HONGERA SHARIFA OTHMAN KWA KUKAMATA NONDO

 Sharifa Othman wa Dar-Es-Salaam akiwa kwenye pozi na nguo yake ya heshima siku ya graduation yake iliyofanyika Raila Odinga Ground. Sharifa Othman aligraduate na kujipatatia nondo za barchelor of pubblic relations and marketing katika Universty ya St Augustine huko Mwanza.Vijimambo timu inatoa pongeza kwa Mama mzazi wa Sharifa kwa kuwezesha watoto wake kutimiza ndoto zao za kupata elimu za juu. Sharifa akismile mbele ya ukodak baada ya kujianda tayari kwa kuenda kupokea nondo zake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani