HONGERA ASHA BARAKA KWA KUTAMBUA HILO!
KWAKO, Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka. Pole na majukumu ya kazi zako za kila siku. Kwa muda mrefu sana hatujaonana, najua ni kutokana na mchakamchaka wa maisha ya kila siku. Asha Baraka. Najua una maumivu ya kupoteza jembe lako, mpiga tumba wa muda mrefu wa bendi yako ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ marehemu Masoud Mohamed ‘MCD’. Pole sana sister ‘angu. Ndiyo dunia, sote tu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Hongera Alli Chocky na Asha Baraka
Kwa wapenzi wa muziki nchini jina la Alli Chocky si geni masikioni mwa wengi. Chocky ameweza kudumu katika muziki wa dansi kwa muda mrefu akiwa katika bendi mbalimbali ikiwamo Twanga Pepeta.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCxPKbgEdfwxVBYkVuAlB-B8hVF0dc*x0eoqr7Qu*C4*VOHhya*HCAGRPz*Ef59xV66rljy6ySLYYNSWmw969Nl9/Baraka.jpg?width=650)
ASHA BARAKA AMUONYA DIAMOND KWA UNGA
Na Laurent Samatta
Mkurungezi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka amemuonya msanii anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kutojaribu kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya na kusema akijaribu atapotea. Mkurungezi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka. Akizungumza na Ijumaa hivi karubini, Asha Baraka ‘Iron...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avVxdexqV5YSWrdCkcyaG0Y*lF5sqzhRB*PBaVCQV6V5mlooKIM3f2ZYCE7DLbqENuACS*aAPXoM7iCa4JUNtPz/asha.jpg?width=650)
HATIMAYE ASHA BARAKA AOLEWA
Stori: Waandishi Wetu  WERAWERAAA! Baada ya kuishi kwa muda mrefu tangu alipotengana na mumewe Khamis Bwela, Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita alifunga ndoa na mfanyabiashara maarufu Dar aitwaye Idd Baka Pandisha, Ijumaa Wikienda lina mzigo kamili. Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Yi4kz*1pm6fCf9c49QNBiQvxnOU17h0hCAT7Op7atZhFFJL9mzNx0g2Tf30R-rImqUIFL*jRLZVCEyVcQ7yKwtS/CHOKI.jpg)
ASHA BARAKA: SITAMSAMEHE CHOKI
Stori: Paparazi Wetu
MKURUGENZI wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka, amesema kamwe hawezi kumsamehe mwanamuziki Ally Choki ambaye ni Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, ambaye ana bifu naye la muda mrefu. Mkurugenzi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka akifunguka jambo katika ofisi za Global Publishers, zilizopo Bamaga Mwenge. Hivi karibuni habari zilienea kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s72-c/IMG-20150629-WA0023.jpg)
Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s640/IMG-20150629-WA0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-ZjtBCePtU/VZIn-k8ZFlI/AAAAAAAAAQ4/3G0CBsckKqE/s640/IMG-20150629-WA0022.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-96NBLMdE52Q/VZIn9hKjxlI/AAAAAAAAAQ8/X1_08v68uh8/s640/IMG-20150629-WA0020.jpg)
BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi11 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV0eJ8PVZfCVQME6gqV0XjWQNtE8bntHRB-vLWnvsTB10pxn0EaKBSjKsXkF6IiA0YEsqoQzjJR5FKFfPdWlnmFk/choki.jpg)
GLOBAL ILIVYOWAPATANISHA CHOKI, ASHA BARAKA!
Stori: Nyemo Chilongani/Ijumaa Wikienda
WAMEPATANA! Hatimaye Kampuni ya Global Publishers inayochapa gazeti hili na mengine ya Ijumaa, Uwazi, Risasi, Amani na Championi imefanikiwa kuwapatanisha wale mahasimu wawili ambao ni viongozi wa bendi mbili tofauti, Mkurugenzi wa The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mwenzake wa Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo Staili’, Ali...
11 years ago
GPLASHA BARAKA ATINGA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Asha Baraka akiwa tayari kwa mahojiano na Global TV Online ndani ya ofisi za Global Publishers. Asha Baraka akifafanua jambo kwa wanahabari wa Global (hawapo pichani).…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/7U-JG7rftqR*VaCduh3Rehl-D4I6SjwWu9MqvVTa-Dv4r-E3jVyCQyI60o-bPa96l-Xrg0iB9tpj2NZAxa*IJfFdAh-CHVYj/AshaBaraka.jpg?width=650)
ASHA BARAKA, RUGE WAWATOLEA UVIVU MASTAA
Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’ Asha Baraka. Stori: Musa Mateja
MKURUGENZI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’ na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba wamewatolea uvivu mastaa wanaojihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya (mateja) na kuwataka waache wenyewe. Wakizungumza katika mahojiano maalum na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania