Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CDA yasaka makali kwa Polisi

TIMU ya Soka ya CDA ya Mjini hapa inaingia kambili leo kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa ufunguzi wa mzunguko wa pili wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Polisi Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yasaka watuhumiwa wa ujambazi

JESHI la Polisi mkoani hapa limeanzisha msako mkali wa kuwatafuta watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliovamia familia moja na kumuua kijana Ng’hayiwa Lengwa (14). Mbali na mauaji hayo, majambazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yasaka nne bora mgongoni mwa Polisi Moro

Simba leo inashuka kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kukabiliana na wenyeji Polisi Morogoro kutafuta ushindi ambao kwa mara ya kwanza utawawezesha kuingia kwenye nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi pia kujaribu kuondoa jinamizi la sare linalowaandama msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil

‘Maisha yanakwenda kasi’, huo ndio ukweli baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Azam kutumia Sh565 milioni kusajili nyota sita akiwamo mchezaji ghali zaidi msimu huu, Leonel Saint-Preux.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo

Yanga iliyo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inaikabili Ndanda ya Mtwara leo na ikihitaji mabao mengi ambayo yataiweka kileleni mwa Ligi Kuu. Klabu hiyo imetamka kuwa ingetaka ishinde kwa mabao mengi leo dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Winga Simon Msuva amewataka wenzake kucheza kwa nguvu, kujituma ili kuhakikisha wanapiga mabao hayo dhidi ya wageni hao kutoka Mtwara.

 

11 years ago

Michuzi

CDA yatembeza nyundozz kwa nyumba zaidi ya 65 Mlimwa kusini manispaa ya Dodoma

 Tingatinga la Mamraka ya ustawishaji makao makuu [CDA] likibomoa moja ya nyumba zilizopo katika hifadhi ya Barabara inayotarajiwa kuanza kujengwa havi karibuni, ambapo zaidi ya nyumba 65 zilibomolewa katika eneo hilo la mlamwa kusini.
 Wanawake wa mtaa wa Mlimwa wakimsaidia Mwenzao aliyezirai baada ya Tingatinga la CDA kufika kwa ajili ya kubomoa nyumba yake kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Barabara, zoezi hilo lilifanyika Jana ambapo nyumba zaidi ya 65 zilibomolewa na kuacha familia...

 

10 years ago

Mwananchi

Hongera Basata kwa kuonyesha makali

Niwapongeze Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kuonyesha wazi kusimama kidete kulinda utamaduni wa Mtanzania na sanaa kwa ujumla.

 

11 years ago

Mwananchi

CDA, Bulyanhulu jino kwa jino Ligi ya Mabingwa

Klabu za Mji Mkuu (CDA) ya Dodoma na Bulyanhulu FC ya Shinyanga zimeanza kuonyesha dhamira ya kupigana vikumbo kugombea nafasi ya kwanza kituo cha Morogoro katika Ligi ya Mabingwa ya Mikoa kwa kukusanya pointi saba katika ngwe ya kwanza.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting

>Yanga ina fursa ya kuishusha kileleni Azam FC kwa muda kama watashinda leo dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya   Ligi Kuu itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamaja: Naishi na maumivu makali kwa miaka 34

Kocha wa Prisons, David Mwamaja ana mwonekano tofauti na makocha wengine wa Ligi Kuu Bara kutokana na mwili mkubwa alionao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani