CDA yasaka makali kwa Polisi
TIMU ya Soka ya CDA ya Mjini hapa inaingia kambili leo kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa ufunguzi wa mzunguko wa pili wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Polisi Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Polisi yasaka watuhumiwa wa ujambazi
JESHI la Polisi mkoani hapa limeanzisha msako mkali wa kuwatafuta watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliovamia familia moja na kumuua kijana Ng’hayiwa Lengwa (14). Mbali na mauaji hayo, majambazi...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Simba yasaka nne bora mgongoni mwa Polisi Moro
Simba leo inashuka kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kukabiliana na wenyeji Polisi Morogoro kutafuta ushindi ambao kwa mara ya kwanza utawawezesha kuingia kwenye nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi pia kujaribu kuondoa jinamizi la sare linalowaandama msimu huu.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil
‘Maisha yanakwenda kasi’, huo ndio ukweli baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Azam kutumia Sh565 milioni kusajili nyota sita akiwamo mchezaji ghali zaidi msimu huu, Leonel Saint-Preux.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo
Yanga iliyo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inaikabili Ndanda ya Mtwara leo na ikihitaji mabao mengi ambayo yataiweka kileleni mwa Ligi Kuu. Klabu hiyo imetamka kuwa ingetaka ishinde kwa mabao mengi leo dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Winga Simon Msuva amewataka wenzake kucheza kwa nguvu, kujituma ili kuhakikisha wanapiga mabao hayo dhidi ya wageni hao kutoka Mtwara.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TfqvZcjRHog/U2XcrjtOtEI/AAAAAAAArN8/iutEsxa1Tmg/s72-c/2.jpg)
CDA yatembeza nyundozz kwa nyumba zaidi ya 65 Mlimwa kusini manispaa ya Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-TfqvZcjRHog/U2XcrjtOtEI/AAAAAAAArN8/iutEsxa1Tmg/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q0iG33hQDk8/U2XctSNSg_I/AAAAAAAArOU/CeB958AfFxU/s1600/5.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 May
Hongera Basata kwa kuonyesha makali
Niwapongeze Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kuonyesha wazi kusimama kidete kulinda utamaduni wa Mtanzania na sanaa kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi17 May
CDA, Bulyanhulu jino kwa jino Ligi ya Mabingwa
Klabu za Mji Mkuu (CDA) ya Dodoma na Bulyanhulu FC ya Shinyanga zimeanza kuonyesha dhamira ya kupigana vikumbo kugombea nafasi ya kwanza kituo cha Morogoro katika Ligi ya Mabingwa ya Mikoa kwa kukusanya pointi saba katika ngwe ya kwanza.
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting
>Yanga ina fursa ya kuishusha kileleni Azam FC kwa muda kama watashinda leo dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya  Ligi Kuu itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mwamaja: Naishi na maumivu makali kwa miaka 34
Kocha wa Prisons, David Mwamaja ana mwonekano tofauti na makocha wengine wa Ligi Kuu Bara kutokana na mwili mkubwa alionao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania