Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwamaja: Naishi na maumivu makali kwa miaka 34

Kocha wa Prisons, David Mwamaja ana mwonekano tofauti na makocha wengine wa Ligi Kuu Bara kutokana na mwili mkubwa alionao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO (ACUTE ABDOMEN)-2

Wiki hii tunaendelea kuangalia magonjwa makali yanayosababisha maumivu makali ya tumbo; APPENDICITIS
Huu ni ugonjwa wa kidole tumbo unaoshambulia sehemu iitwayo ‘Vermiform Appendix’. Tatizo hili huambatana na maumivu ya tumbo yanayoanza taratibu upande wa kulia usawa wa kitovu na kushuka chini upande huohuo. Maumivu makali hutokana na kidole tumbo hicho kupasuka. Ni tatizo linaloweza kumpata mtu yeyote katika hali yoyote...

 

9 years ago

GPL

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO (ACUTE ABDOMEN)

Maumivu ya tumbo huwatokea watu wote wanaume na wanawake wakubwa na wadogo. Maumivu huanza taratibu au ghafla na kwa kasi. Tatizo hili huwa kali hadi wakati mwingine kusababisha mgonjwa kufanyiwa upasuaji. Maumivu ya tumbo kwa ujumla wake yamegawanyika katika makundi manne; kwanza ni maumivu ya viungo vya ndani ya tumbo, maumivu yanayohusiana na mishipa ya fahamu, maumivu ya mbali katika mwili yanayosambaa na maumivu kuzunguka...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili maumivu makali ya uti wa mgongo

Wiki iliyopita tuliona jinsi tatizo la mgongo linavyosumbua watu wengi dunia. Tuliona pia vyanzo vyake na jinsi upungufu wa viinilishe mwilini na madhara ya kazi yanavyochangia kutokea kwa tatizo hili.

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanamitindo Millen Magese Alazwa Tena Hospitalini, Atoa Ujumbe Mzito Akiwa Katika Maumivu Makali

Mwanamitindo Maarufu Millen Magese Amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa kitandani kwa mara nyingine tena akipata matibabu kuhusu ugonjwa unaomsumbua na kuandika ujumbe huu wa kusikitisha:"
I didn't want to Post any pic this time because Iam exhausted ....but posting this pic today is just to insist ...Endometriosis is real. I truly don't wish to see any young girl/woman go through this pain . It's not just your period pain , it's more than that. May this remind women from all over...

 

10 years ago

Mwananchi

Naishi kwa huduma ya choo

Pengine inaweza kuwa ni biashara ngumu na yenye changamoto nyingi kufanywa na wanawake, lakini hii haimkatishi tamaa Blandina Mgimba (29).

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto wa mjini naishi kama digidigi!

Ukisikia sentensi imeanza na Wahenga walisema…usiipuuze. Hawa wazee wa zamani walitunga misemo enzi hizo wakati hata baiskeli hawaijui, lakini maneno yao mpaka leo kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia yana uzito uleule.

Mimi hapa bosi wa mabosi, pedeshee wa mapedeshee ambaye katika kila nyimbo nne za nchi hii lazima tatu zinitaje, leo hii nikisikia jina langu likitajwa najificha uvunguni mwa kitanda, presha inapanda. Mimi, niliyekuwa hata maji lazima ninywe yaliyotoka nje ya nchi,...

 

9 years ago

Habarileo

CDA yasaka makali kwa Polisi

TIMU ya Soka ya CDA ya Mjini hapa inaingia kambili leo kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa ufunguzi wa mzunguko wa pili wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Polisi Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Hongera Basata kwa kuonyesha makali

Niwapongeze Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kuonyesha wazi kusimama kidete kulinda utamaduni wa Mtanzania na sanaa kwa ujumla.

 

10 years ago

GPL

JACK DUSTUN: NAISHI NA MCHUMBA KUJIANDAA NA NDOA


Na Imelda Mtema
MAMBO vipi mtu wangu wa nguvu, kama ilivyo ada, tunasonga mbele na tunazidi kukuletea vitu ambavyo roho yako inapenda, kazi yangu ni kutia miguu nyumbani kwa mastaa mbalimbali Bongo na kujua maisha yao halisi. Jacqueline Dustan. Leo tumetembelea maeneo ya Mbagala Chamazi katika nyumba anayoishi staa wa Shindano la Maisha Plus Season 2, Jacqueline Dustan ‘Jack’.  Kwenye nyumba hiyo anaishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani