Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUMIVU MAKALI YA TUMBO (ACUTE ABDOMEN)

Maumivu ya tumbo huwatokea watu wote wanaume na wanawake wakubwa na wadogo. Maumivu huanza taratibu au ghafla na kwa kasi. Tatizo hili huwa kali hadi wakati mwingine kusababisha mgonjwa kufanyiwa upasuaji. Maumivu ya tumbo kwa ujumla wake yamegawanyika katika makundi manne; kwanza ni maumivu ya viungo vya ndani ya tumbo, maumivu yanayohusiana na mishipa ya fahamu, maumivu ya mbali katika mwili yanayosambaa na maumivu kuzunguka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO (ACUTE ABDOMEN)-2

Wiki hii tunaendelea kuangalia magonjwa makali yanayosababisha maumivu makali ya tumbo; APPENDICITIS
Huu ni ugonjwa wa kidole tumbo unaoshambulia sehemu iitwayo ‘Vermiform Appendix’. Tatizo hili huambatana na maumivu ya tumbo yanayoanza taratibu upande wa kulia usawa wa kitovu na kushuka chini upande huohuo. Maumivu makali hutokana na kidole tumbo hicho kupasuka. Ni tatizo linaloweza kumpata mtu yeyote katika hali yoyote...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU CHINI YA TUMBO

Tatizo la maumivu chini ya tumbo huwasumbua baadhi ya wanawake huku vyanzo halisi vya maumivu vikiwa vingi tu. Maumivu chini ya tumbo au chini ya kitovu huweza kusababishwa na mambo mbalimbali kama tutakavyoona. Maumivu huwapata wasichana ambao tayari wameshavunja ungo na wanawake watu wazima, ingawa hata wasichana wadogo ambao bado hawajavunja ungo husumbuliwa. CHANZO CHA TATIZO
Chanzo cha maumivu haya kinaweza kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili maumivu makali ya uti wa mgongo

Wiki iliyopita tuliona jinsi tatizo la mgongo linavyosumbua watu wengi dunia. Tuliona pia vyanzo vyake na jinsi upungufu wa viinilishe mwilini na madhara ya kazi yanavyochangia kutokea kwa tatizo hili.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamaja: Naishi na maumivu makali kwa miaka 34

Kocha wa Prisons, David Mwamaja ana mwonekano tofauti na makocha wengine wa Ligi Kuu Bara kutokana na mwili mkubwa alionao.

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanamitindo Millen Magese Alazwa Tena Hospitalini, Atoa Ujumbe Mzito Akiwa Katika Maumivu Makali

Mwanamitindo Maarufu Millen Magese Amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa kitandani kwa mara nyingine tena akipata matibabu kuhusu ugonjwa unaomsumbua na kuandika ujumbe huu wa kusikitisha:"
I didn't want to Post any pic this time because Iam exhausted ....but posting this pic today is just to insist ...Endometriosis is real. I truly don't wish to see any young girl/woman go through this pain . It's not just your period pain , it's more than that. May this remind women from all over...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU YA TUMBO YA MARA KWA MARA KWA WANAWAKE

Wanawake wanaosumbuliwa na maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara hupata athari nyingi baadaye endapo kama hawatagundua chanzo cha maumivu hayo. Katika tumbo la mwanamke kuna mfumo wa kawaida wa tumbo ambao ni tumbo la chakula na mfuko wa haja kubwa, kuna kibofu cha mkojo na mfumo wa mkojo.
Pia kuna mfumo wa uzazi ambao ndiyo tunaozungumzia leo kwa undani. Mfumo wa chakula una matatizo yake mengi ambayo huambatana na...

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania faces acute shortage of aviators

Tanzania faces an acute shortage of pilots and stakeholders now want the government to come in and address the challenge.

 

11 years ago

TheCitizen

Region faces acute shortage of ARVs

>Health stakeholders in Mara have requested the government to supply the region with antiretroviral drugs as the shortage of the life-saving therapy threatens the lives of people living with HIV.

 

11 years ago

Daily News

Country faces acute shortage of Maths teachers


Daily News
Country faces acute shortage of Maths teachers
Daily News
MATHEMATICS teachers whose number is rapidly shrinking have become the most sought after individuals in the country. The Permanent Secretary in the Ministry of Education, Prof Sifuni Mchome, revealed here that Tanzania needs over 13,480 basic ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani