Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUMIVU YA TUMBO YA MARA KWA MARA KWA WANAWAKE

Wanawake wanaosumbuliwa na maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara hupata athari nyingi baadaye endapo kama hawatagundua chanzo cha maumivu hayo. Katika tumbo la mwanamke kuna mfumo wa kawaida wa tumbo ambao ni tumbo la chakula na mfuko wa haja kubwa, kuna kibofu cha mkojo na mfumo wa mkojo.
Pia kuna mfumo wa uzazi ambao ndiyo tunaozungumzia leo kwa undani. Mfumo wa chakula una matatizo yake mengi ambayo huambatana na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara

Inaweza kukushangaza kuwa baadhi ya vyakula maarufu na vinavyopendwa, mathalani matunda ya jamii ya machungwa, machenza, malimao, ndimu, na mabalungi, vinaweza kukusababishia hisia za kuumwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Mabadiliko ya mara kwa mara ya Mitaala shule za Msingi inawachanganya wanafunzi.


Fikra Pevu
BAADHI ya Walimu wa Shule za Msingi katika jiji la Dar es Salaam wamelalamikia mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala kwa shule za msingi pamoja na idadi kubwa ya masomo kwa wanafunzi wa madarasa yote na kwamba yamekuwa yakiwachanganya wanafunzi na kuwafanya washindwe kumudu masomo yao.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti na FikraPevu jijini humo Novemba 17, 2014 walimu hao wamesema mabadiliko ya mara kwa mara kwa mitaala yanayofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi bila...

 

9 years ago

StarTV

Waendesha Bajaji Dodoma wagoma madai ya faini za mara kwa mara

 

Wafanyabiashara wa pikipiki za magurudumu matatu maarufu kama  bajaji wa manispaa ya Dodoma wamesitisha kutoa huduma ya usafiri kwa zaidi ya saa nne wakipinga kutozwa faini za mara kwa mara na Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA kwa madai kuwa wamekiuka agizo la mamlaka hiyo kwa kuegesha katika maeneo yasiyo rasmi.

Mgomo huo umekuja baada ya mamlaka hiyo kuzikamata Bajaji 12 za wafanyabiashara hao kwa kuegesha eneo lisilo husika wakitakiwa kulipa faini ya shilingi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara

Miongoni mwa maswali ya wasomaji wetu ni sababu za mtu kukojoa mkojo wenye rangi ya njano, kwenda haja ndogo mara kwa mara na hisia za maumivu wakati ukiwa na mkojo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ugumba Wamtesa Wema, Adondosha Chozi Mara kwa Mara!

Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.

Akizungumza na gazeti la Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani.

Alisema kwamba, amekuwa akishinda akilia kila anapokutana na shosti wake wa sasa, Aunt Ezekiel ambaye ni mjamzito.Wema alitiririka...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco yatoa sababu kukatika umeme mara kwa mara

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetoa ufafanuzi kuhusu  tatizo la kukatika  kwa umeme linaloendelea nchini linatokana na kuongeza taratibu megawati hadi zifikie megawati 335.

 

9 years ago

Mtanzania

Mimba yamfanya Kim Kardashian kula mara kwa mara

kim-kardashianNEW YORK, MAREKANI

MKE wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Kim Kardashian, ameweka wazi kwamba anashindwa kula kwa mpangilio kwa kuwa huwa anahisi njaa mara kwa mara.

Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 35, anatarajia kupata mtoto wa pili, awali mrembo huyo alikuwa akifuata ratiba ya mlo kamili lakini kwa sasa imeshindikana.

“Kwa hatua niliyofikia kwa sasa nahisi mtoto nitakayejifungua atakuwa anakula sana kama ninavyokula mimi mara kwa mara bila kuwa na mpangilio wa chakula,”...

 

9 years ago

StarTV

Ukamilishaji jengo la biashara Mutukula wachelewa kutokana na mvua za mara kwa mara

 

Ujenzi wa jengo la kisasa la biashara linalojengwa na shirika la Nyumba la Taifa katika mpaka wa Mutukula mkoani Kagera umechelewa kukamilika kutokana na mvua za mara kwa mara ambazo zimekuwa kikwazo katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa jengo hilo linalokadiriwa kugharimu kiasi cha shilingi bilioni tatu nukta nne tano hadi litakapokamilika.

Awali ujenzi wa jengo hilo ulipangwa kukamilika Desemba mwaka huu lakini kutokana na mvua za mara kwa mara, jengo hilo sasa linatarajiwa kukamilika...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU MARA KWA MARA

Habari na picha na Rajabu Mwenda Waziri wa Afya na ustawi wa jamii Mheshimiwa Dr Seif S. Rashid alisema juzi siku ya jumamosi 02/02/2014 katika msikiti wa kichangani magomeni Dar-es-salaam ambako alikuwa mgeni rasmi katika zoezi la kuchangia damu ambalo liliratibiwa na Mpango wa Taifa wa damu salama kanda ya mashariki kwa kushirikiana na Jumuiya ya akhlaaqul Islaam (JAI)  Akisoma hotuba kwa niaba ya waziri wa afya kaimu mkurugenzi wa tiba wizara ya afya Dr Hadiel senkoro alisema, viongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani