Mimba yamfanya Kim Kardashian kula mara kwa mara
NEW YORK, MAREKANI
MKE wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Kim Kardashian, ameweka wazi kwamba anashindwa kula kwa mpangilio kwa kuwa huwa anahisi njaa mara kwa mara.
Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 35, anatarajia kupata mtoto wa pili, awali mrembo huyo alikuwa akifuata ratiba ya mlo kamili lakini kwa sasa imeshindikana.
“Kwa hatua niliyofikia kwa sasa nahisi mtoto nitakayejifungua atakuwa anakula sana kama ninavyokula mimi mara kwa mara bila kuwa na mpangilio wa chakula,”...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Mar
Ninafanya mapenzi mara 500 kwa siku — Kim Kardashian
11 years ago
CloudsFM29 May
KIM KARDASHIAN APOST PICHA ZAKE ZA HARUSI NA KANYE WEST KWA MARA YA KWANZA KWENYE INSTAGRAM
Kim Kardashian na Kanye West wakiwa wameshikana mikono baada ya kufunga ndoa mwishoni mwa wiki iliyopita huko Forte di Belvedere Florence, Italia.
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Kim Kardashian aonywa ngono za kila mara
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWSAclFOhhLOBjG0a-D56E6W0pyE0BBz-*rV5N77Wv1dPCapS6qR-SUUBPKepb-d0C-BvHc8PU68aU5AofyASsX/UterineFibroids.jpg?width=650)
TATIZO LA KUHARIBIKA MIMBA MARA KWA MARA!
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)
9 years ago
Bongo521 Oct
Khloe Kardashian azungumza kwa mara ya kwanza toka Lamar Odom apate matatizo
10 years ago
Vijimambo24 Nov
Mabadiliko ya mara kwa mara ya Mitaala shule za Msingi inawachanganya wanafunzi.
![](http://www.fikrapevu.com/wp-content/uploads/2014/11/stationery-640x350.jpg)
Fikra Pevu
BAADHI ya Walimu wa Shule za Msingi katika jiji la Dar es Salaam wamelalamikia mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala kwa shule za msingi pamoja na idadi kubwa ya masomo kwa wanafunzi wa madarasa yote na kwamba yamekuwa yakiwachanganya wanafunzi na kuwafanya washindwe kumudu masomo yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na FikraPevu jijini humo Novemba 17, 2014 walimu hao wamesema mabadiliko ya mara kwa mara kwa mitaala yanayofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi bila...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara