JACK DUSTUN: NAISHI NA MCHUMBA KUJIANDAA NA NDOA

Na Imelda Mtema MAMBO vipi mtu wangu wa nguvu, kama ilivyo ada, tunasonga mbele na tunazidi kukuletea vitu ambavyo roho yako inapenda, kazi yangu ni kutia miguu nyumbani kwa mastaa mbalimbali Bongo na kujua maisha yao halisi. Jacqueline Dustan. Leo tumetembelea maeneo ya Mbagala Chamazi katika nyumba anayoishi staa wa Shindano la Maisha Plus Season 2, Jacqueline Dustan ‘Jack’. Kwenye nyumba hiyo anaishi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MCHUMBA AMSAKA JACK DUSTAN
10 years ago
Bongo502 Feb
Ndoa ya Barnaba na mchumba wake yanukia
10 years ago
Vijimambo13 Feb
MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO

10 years ago
GPL
PENNY: MCHUMBA NINAYE ILA NDOA SIYO LEO
10 years ago
Bongo526 Oct
Luteni Kalama kufunga ndoa na mchumba wake Bella
10 years ago
Bongo Movies22 Feb
Jack: Sitaki Tena Ndoa!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa tena hii ni baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, Gadna Dibibi.
Jack alisema, kwa muda aliodumu kwenye ndoa ameshaona raha na karaha yake hivyo suala la kuolewa tena sasa hivi halipo akilini mwake.
“Katika ndoa lazima kuwe na mabaya na mazuri, hata hivyo siwezi kusema ndoa ni chungu hapana, ila mimi kwa sasa hivi nimeona nipumzike kwanza sitaki tena ndoa labda...
10 years ago
GPL
JACK PENTEZEL: SITAKI TENA NDOA!
10 years ago
GPL
JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU
10 years ago
GPL
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE