Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa mjini naishi kama digidigi!

Ukisikia sentensi imeanza na Wahenga walisema…usiipuuze. Hawa wazee wa zamani walitunga misemo enzi hizo wakati hata baiskeli hawaijui, lakini maneno yao mpaka leo kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia yana uzito uleule.

Mimi hapa bosi wa mabosi, pedeshee wa mapedeshee ambaye katika kila nyimbo nne za nchi hii lazima tatu zinitaje, leo hii nikisikia jina langu likitajwa najificha uvunguni mwa kitanda, presha inapanda. Mimi, niliyekuwa hata maji lazima ninywe yaliyotoka nje ya nchi,...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Naishi kwa huduma ya choo

Pengine inaweza kuwa ni biashara ngumu na yenye changamoto nyingi kufanywa na wanawake, lakini hii haimkatishi tamaa Blandina Mgimba (29).

 

10 years ago

Mtanzania

Mr Flavour kama Diamond, apata mtoto

flavour nabaniaWAKATI nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul (Diamond Platinum) akifurahia mtoto wake wa kwanza aliyempa jina la Tiffah, nyota mwenzake wa Nigeria, Flavour Nabania ‘Mr Flavour’ naye amepata mtoto.

Diamond Platinum na mpenzi wake, Zarina Hassani (Zari), wamefanikiwa kupata mtoto wa kike huku Mr Flavour na mpenzi wake, Anna Banner wakipata mtoto wa kiume.

Mtoto wa Mr Flavour amezaliwa Texas nchini Marekani akiwa ni mtoto wake wa pili, wa kwanza akiwa amezaa na mrembo, Sandra Okagbue,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamaja: Naishi na maumivu makali kwa miaka 34

Kocha wa Prisons, David Mwamaja ana mwonekano tofauti na makocha wengine wa Ligi Kuu Bara kutokana na mwili mkubwa alionao.

 

10 years ago

GPL

JACK DUSTUN: NAISHI NA MCHUMBA KUJIANDAA NA NDOA


Na Imelda Mtema
MAMBO vipi mtu wangu wa nguvu, kama ilivyo ada, tunasonga mbele na tunazidi kukuletea vitu ambavyo roho yako inapenda, kazi yangu ni kutia miguu nyumbani kwa mastaa mbalimbali Bongo na kujua maisha yao halisi. Jacqueline Dustan. Leo tumetembelea maeneo ya Mbagala Chamazi katika nyumba anayoishi staa wa Shindano la Maisha Plus Season 2, Jacqueline Dustan ‘Jack’.  Kwenye nyumba hiyo anaishi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford: Kuanzia Leo Naishi Nitakavyo..

Ustaa kazi: Baada ya kuchoshwa na maneno ya watu kuhusu maisha yake binafsi, staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ameamua kuweka wazi msimamo wake kwa mashabiki zake wote.

“Siku zote nimekuwa muoga kuishi maisha yangu kwa kuogopa watu but hao watu naowaogopa hata siku moja hawajawahi kuogopa kuishi maisha yao kwa kuniogopa mm..from today nitaishi nitakavyo mimi na kufanya kile ambacho nahic kinafaida na kunifurahisha katika maisha yangu.Mashabiki wangu wa ukweli kabisaa alionipangia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: ‘Bethidei Pati’ ya Mtoto wa Odama Kama Harusi!

Staa mrembo wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefanya kufuru ya aina yake baada ya kumwandalia mwanaye, Janson bonge la sherehe ya kuzaliwa (bethidei), aliyekuwa akitimiza mwaka mmoja iliyokuwa kama harusi.

Pati hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kibwena Bongo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Msasani Beach, Kinondoni jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo shughuli nzima ilikuwa imeandaliwa kama harusi ambapo kwa mujibu wa waandaaji iliteketeza mamilioni ya shilingi yanayodaiwa kumwagwa na...

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste aliishi kama mtoto nyumbani kwa Dully Sykes

Mabeste na mpenzi wake

Rapa Mabeste ameweka wazi jinsi msanii mkongwe kwenye muziki Dully Sykes alivyomsaidia katika wakati mgumu maishani mwake.

Mabeste na mpenzi wake

Mabeste ambaye yupo katika mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka katika mbuga za Manyara National Park Arusha, ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa Dully ndiye Godfather kweye muziki wake.

Rapa huyo alisema kipindi chote alipokuwa anahangaika kuhusu muziki, Dully Sykes ndiye alikuwa msaada kwake, kuanzia kuvaa, kula na kulala na aliishi nyumbani kwa Dully kwa muda...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtoto wa Frolah Mvungi,Tanzanite Acheza Filamu Kama ‘Albino’

Mtoto wa msanii wa Bongo Fleva,H Baba na mwigizaji wa Bongo Movie,Frolah Mvungi,Tanzanite amecheza filamu kama mhusika mkuu.

Akizungumza na Clouds FM, H Baba alisema kuwa katika filamu hiyo ambayo hajaitaja jina Tanzanite amecheza kama mtoto aliyetekwa na watu waliodhania kuwa mtoto huyo ni mlemavu wa ngozi ‘Albino’.

‘’Mimi na Frolah tumecheza kwenye filamu hiyo na Tanzanite kama mtoto wetu amecheza nafasi nne kwenye filamu hiyo kuna watu wanamteka mtoto wangu wakidhani kuwa ni albino...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA ULIKUWA UJUHI HABARI NDIYO HII HUKO BONGO MJINI

 Shida ya foleni kati ya Airport na City Centre kuisha?? Cheki treni mpya hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 800-1000. Tutaiweza kweli?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani