Jaja aanza kuonyesha makali Pemba
Mchezaji wa Yanga Geilson Santos Santana ‘Jaja’ akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa yanga, Beno Njovu, jana baada ya kusaini kuichezea timu hiyo kwa miaka miwili.
NA HUSSEIN OMARI, PEMBA
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga Mbrazil Geilson Santana ‘Jaja’, jana ameanza kuonyesha makali yake baada ya kuifungia timu yake bao, katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Chipukizi, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Gombani, Chakechake Pemba.
Mchezaji huyo amejiunga na Yanga mwezi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 May
Hongera Basata kwa kuonyesha makali
Niwapongeze Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kuonyesha wazi kusimama kidete kulinda utamaduni wa Mtanzania na sanaa kwa ujumla.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjbOULGRYvQAoR96RkEYatO0Bykf8RItTFLuUzTSr9tAjh2k2ILt8k0BmuhTUxGKDoTiC3jlW0BL0*J2HZwQaVo/jaja.jpg)
Jaja aanza kazi Yanga, afanya balaa mazoezini
Straika mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, Na Sweetbert Lukonge
STRAIKA mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, tayari ameanza kuonyesha makeke yake baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu katika mazoezi ya timu hiyo yaliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sokondari Loyola, Mabibo, jijini Dar es Salaam, jana. Jaja, tangu atue hapa nchini Jumanne iliyopita...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-twvei9g3yVs/VLamYMckPFI/AAAAAAACxd8/sufuq2L27u4/s72-c/19.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA YA SIKU 16 YA UNGUJA NA PEMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-twvei9g3yVs/VLamYMckPFI/AAAAAAACxd8/sufuq2L27u4/s1600/19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XJfWW3TvNgM/VLamZsxGvJI/AAAAAAACxeQ/6OaaCzN0LLE/s1600/22.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF3VfiKWF6JloGpwBW6yqu1gus2kBlOICkPG0wJQGXo6YnKhvJ51mDKtctldHOl9JNtjfjAZ4HjCSKwDlYU9IThG/5.jpg?width=650)
KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE WILAYA YA WETE MKOA WA KASKAZINI PEMBA
Pichani kati ni Meneja Utawala wa shirika la Ununuzi wa Karafuu (ZSTC), Bw.Issa Hassani akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana pichani kulia alipokwenda kutembelea Ghala la Karafuu na kuona zoezi la ununuzi wa Karafuu katika Bandari ya Wete,Kaskazini Pemba. Ndugu Kinana akiwa ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wako Kisiwani Pemba kwa ziara ya Kuhimiza na Kukagua utekelezaji wa ilani ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oruY9sAcGy0/VMaSMx8dc8I/AAAAAAACymk/_THbG5ofl4w/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE LEO WILAYA YA WETE MKOA WA KASKAZINI PEMBA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-oruY9sAcGy0/VMaSMx8dc8I/AAAAAAACymk/_THbG5ofl4w/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mHzAYpCk5vc/VMaSOEcn-LI/AAAAAAACym0/ue8pOCpiqm4/s1600/7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PrrRyV2txE0/VSKwP867ZSI/AAAAAAABq-M/okGnoKCAXy8/s72-c/11050834_796847653703263_8242308058899657421_n.jpg)
Hoteli mpya ya New Pemba Seaview yafunguliwa Machomane, Pemba
![](http://1.bp.blogspot.com/-PrrRyV2txE0/VSKwP867ZSI/AAAAAAABq-M/okGnoKCAXy8/s1600/11050834_796847653703263_8242308058899657421_n.jpg)
Mwonekano wa Hoteli
10 years ago
Michuzi08 Oct
MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/W-gYqrsvqvZscbuOk_qdBQcx43yh9S1SYO7g3ssU75MbCncKlbpeNeFu5uTWGQtZIsJzbMxrel_GBPa-jjErVZmHNXDxGHtF-oubcYLGWXYQ6QQ2agsBUNRHoEXK2vC7Hmn86FXV4y-_XO3pKC0BpRFHwEZ5vxGFX5EQk3PdB7MPShJDbPqlwqT98roitVB4Fpa6LjJiy9ssZx9fd-uA_h2hTC6-SWoY0GTEDmQblzevfehx2zXFL7X_Aju22FBGVn_w0M-L45ZvGdaKE3Sr-6FbKgp_sEklPfEYeXTO-1dQY9yFdAhfrB_1_PyVjaSLk6yjOiTgPBIm_4tbxugZDw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-C7ZI7M8JMxA%2FVDRmlJ6OotI%2FAAAAAAADI_4%2FwJC50x6hb6k%2Fs1600%2Fsl%252B1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Bw..Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo...
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KjWIsFpy_Vg/VDWLPnQwnCI/AAAAAAAGowU/jmp9KasqMtI/s72-c/SL.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYA SHILINGI MILIONI 8 MJINI WETE PEMBA
Timu kongwe visiwani Zanzibar Jamhuri ya Wete Pemba iliyoanzishwa mwaka 1954 imepokea vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 8 kutoka kwa Bw.Suleiman Saleh ambaye alimkabidhi mdaada huo mjini Wete Pemba jioni ya Jumanne Oktoba 7 2014 katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari ya Utaani iliyopo Wete Pemba.
Bw.Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo viatu,...
Bw.Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo viatu,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania