Jaja aanza kazi Yanga, afanya balaa mazoezini
![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjbOULGRYvQAoR96RkEYatO0Bykf8RItTFLuUzTSr9tAjh2k2ILt8k0BmuhTUxGKDoTiC3jlW0BL0*J2HZwQaVo/jaja.jpg)
Straika mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, Na Sweetbert Lukonge STRAIKA mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, tayari ameanza kuonyesha makeke yake baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu katika mazoezi ya timu hiyo yaliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sokondari Loyola, Mabibo, jijini Dar es Salaam, jana. Jaja, tangu atue hapa nchini Jumanne iliyopita...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1m8cWlE8EWGiGEgIvUxmEQSI6hkSTV7KsA23h4YVWMh8byHZRdNKa99v1gAJjGTyny8pfZQkQZjSj5-xEkpM4Y/jaja.jpg)
Jaja amvaa Coutinho mazoezini
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Jaja aanza kuonyesha makali Pemba
![Santos Santana ‘Jaja’](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/JAJA.jpg)
Mchezaji wa Yanga Geilson Santos Santana ‘Jaja’ akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa yanga, Beno Njovu, jana baada ya kusaini kuichezea timu hiyo kwa miaka miwili.
NA HUSSEIN OMARI, PEMBA
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga Mbrazil Geilson Santana ‘Jaja’, jana ameanza kuonyesha makali yake baada ya kuifungia timu yake bao, katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Chipukizi, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Gombani, Chakechake Pemba.
Mchezaji huyo amejiunga na Yanga mwezi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVI7-LlbRlGwKWOlal*5wL64Xuc0sIGYervRqaii0JbhCysZMpVfewCfoq3bXy8cGM0vp8B7XPCClIt0w2EfhR4J/KICGA.jpg)
Kisiga atua mazoezini, afanya kikao na kocha
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Babi aibukia mazoezini Yanga SC
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UAPwrp2-IWI/Vlw3aLBTl_I/AAAAAAAAJPU/etuKf7TH3VE/s72-c/Moshi%2B3.jpg)
KASI YA RC KILIMANJARO NI BALAA, AFANYA ZIARA ZA KUSHTUKIZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAPwrp2-IWI/Vlw3aLBTl_I/AAAAAAAAJPU/etuKf7TH3VE/s640/Moshi%2B3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8RDDNK2-ip*TC28pPWBEbzyBXenImUfjIcfAVxqSmrJQmsztIgzT1QZu0hBS0qTXsEifhUceR4KjHv36POuft9H/YANGA7.jpg?width=650)
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Jaja aipaisha Yanga
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE, Obedi Mbaga.
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...