MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYA SHILINGI MILIONI 8 MJINI WETE PEMBA
Timu kongwe visiwani Zanzibar Jamhuri ya Wete Pemba iliyoanzishwa mwaka 1954 imepokea vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 8 kutoka kwa Bw.Suleiman Saleh ambaye alimkabidhi mdaada huo mjini Wete Pemba jioni ya Jumanne Oktoba 7 2014 katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari ya Utaani iliyopo Wete Pemba.
Bw.Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo viatu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW. SULEIMAN SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA
10 years ago
Michuzi08 Oct
MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA
Bw..Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Makamu wa Rais akabidhi vifaa vya michezo
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amekabidhi vifaa vya michezo kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki.
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Katibu wa Baseball Tanzania akabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya taifa ya mchezo huo jijini Dar
Bw. Alferio Nchimbi Katibu wa Chama cha Mchezo wa Baseball na Softball Tanzania akikabidhi vifaa vya michezo kwa wachezaji wa timu ya mchezo huo ya Tanzania inayotarajia kuondoka kesho kuelekea nchini Uganda kwa ajili kambi ya mafunzo ya Meja League Base Ball Training Camp For Tryout (MLB) yatakayofanyika kuanzia tarehe 23-25 Agosti 2015 ambapo wachezaji watakaochaguliwa kutoka katika kambi hiyo watakwenda nchini Afrika Kusini kwa kwa mafunzo ya wiki mbili na baadaye wachezaji...
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KINONDONI CUP JIJINI DAR, AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
VijimamboRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO JIMBO LA UZINI
9 years ago
MichuziSHULE YA MSINGI MTEMANI WINGWI MKOA WA KASKAZINI PEMBA YAPATIWA VIFAA VYA KISASA VYA MAKTABA
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AKABIDHI SHILINGI MILIONI NNE KWA AJILI YA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO WA TIMU YA FUJONI BOYS
Balozi Seif akimkabidhi fedha Taslim Shilingi Milioni 4,000,000/- Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “ B “ Nd. Hilika Ibrahim kwa ajili ya matengenezo ya uwanja wa michezo wa Timu ya Soka ya Fujoni Boys.
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi...
9 years ago
VijimamboDk. Shein Azindua Uwanja wa Basketi Wete na Kukadidhi Vifaa vya Michezo