Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji
Na Rashid Abdallah “Ndani ya miaka 14 , trilioni nne nukta 4 dola za Kimarekani zimetumika katika vita dhidi ya ugaidi, lakini mamia na maelfu ya watu wamekufa. Kati ya mwaka 2000 na 2014, vifo vinavyosababishwa […]
The post Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Jan
SMZ kufuta dhamana kwa wabakaji
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kurekebisha sheria zake za mwenendo wa makosa ya jinai pamoja na kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakary .
Kauli hiyo imekuja kufuatia hoja ya Mwakilishi wa Viti Maalumu Wanawake kutoka CCM Mgeni Hassan Juma aliyoiwakilisha katika Baraza la Wawakilishi inayoitaka Serikali kudhibiti na kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na...
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Maisha jela kwa wabakaji Misri
11 years ago
Habarileo02 May
Watendaji DPP Z’bar wataka dhamana ifutwe kwa wabakaji
WANASHERIA kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) wametaka Serikali kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji kwa lengo la kupunguza matukio hayo ambayo yamekuwa yakidhalilisha watoto ikiwemo wanawake na wanaume.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Hongera kwa Wazanzibari kuwahi fursa
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto.
WATU tisa wa familia moja wenye asili ya Ziwani, Pemba wamekufa kwenye ajali ya moto ulioteketeza nyumba yao jijini Dar es Salaam, huku baba wa familia akinusurika kwa kuwa alikuwa amekwenda msikitini kuswali. Nyumba hiyo iliyoteketea […]
The post Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo12 Dec
‘Toeni ushahidi wa wabakaji mahakamani’
MRATIBU wa mtandao wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji kijinsia Jeshi la Polisi Makao Makuu, Hasina Ramadhan Toufik ameitaka jamii kutoa ushahidi mahakamani kwa watu wanaotuhumiwa kubaka ili kukomesha matukio hayo.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Wabakaji wapewe adhabu kali
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Polisi wabakaji waongezwa adhabu Tunisia
11 years ago
Habarileo05 Jun
Mbunge ataka wabakaji wahukumiwe kifo
MBUNGE wa Bunge la Tanzania kupitia chama cha CUF, Moza Abeid Saidy ameiomba serikali kuweka adhabu ya kifo kwa wabakaji ili liwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.