Mbunge ataka wabakaji wahukumiwe kifo
MBUNGE wa Bunge la Tanzania kupitia chama cha CUF, Moza Abeid Saidy ameiomba serikali kuweka adhabu ya kifo kwa wabakaji ili liwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Nov
Mbunge ataka Bunge lisitishwe
KUTOKANA na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kuidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 90 za dawa hatua inayozifanya hospitali nyingi nchini kukosa huduma hiyo na kuleta madhara kwa wagonjwa, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), ameomba Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge ulioanza jana mjini hapa kuahirishwa ili fedha walizopaswa kulipwa wabunge zitumike kununua dawa kuokoa wagonjwa.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mbunge ataka ahadi za JK zifutwe
MBUNGE wa Viti Maalumu Rebeca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kuzifuta ahadi zote zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kuomba kura mwaka 2010 kwa madai kuwa hazitekelezeki. Mngodo alitoa kauli...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Mbunge ataka wasilipwe posho
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ameshauriwa kumuandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kuomba kuvunjwa kwa bunge hilo linaloendelea mjini hapa endapo wajumbe wake watashindwa kuanza kujadili rasimu Jumatatu ijayo.
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mbunge ataka magereza kupanda miti
MBUNGE wa Kisarawe, Seleman Jaffo (CCM) ametaka kujua mikakati ya serikali kuwezesha majeshi ya magereza kupanda miti na kutunza mazingira kwenye maeneo yao magereza. Katika swali la awali la Mbunge...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mbunge ataka Benki ya Wanawake Pemba
MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itapeleka Benki ya Wanawake katika mikoa ya Pemba, ili nao waweze kunufaika na benki hiyo. Msabaha...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Mbunge Chadema ataka msaada wa mawaziri
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Mbunge ataka sheria ya majaji itumike
MBUNGE wa Viti Maalumu, Diana Chilolo (CCM), ameihoji serikali kutoanza kutumika sheria ya majaji iliyotungwa na Bunge na kuainisha haki na marupurupu ya majaji. Mbunge huyo mbali na kuhoji suala...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Mbunge ataka wauza nyavu wakamatwe
MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Jason Rweikiza (CCM), ameitaka serikali kueleza sababu za kuwakamata wavuvi wanaotumia nyavu za macho madogo badala ya kuwakamata wauzaji wa nyavu hizo. Alitaka kujua hayo bungeni...
10 years ago
Habarileo14 May
Mbunge ataka adhabu ya ajali iongezwe
MBUNGE wa Viti Maalumu, Amina Abdulla Amour (CUF) ameitaka Serikali kuongeza adhabu kwa kampuni zenye mabasi yanayopata ajali, ili badala ya kufungia mabasi hayo kuanzia mwezi mmoja mpaka miezi sita, adhabu ianzie mwaka mmoja na kuendelea.