Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge Chadema ataka msaada wa mawaziri

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Simiyu (Chadema) Gimbi Masaba amemuomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba kuweka mikakati ya kudhibiti migogoro ya wakulima na wafugaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ataka mawaziri wapewe meno

>Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema ipo haja ya kubadili mfumo wa watendaji serikalini ili wanapoboronga nao wajibishwe na mawaziri.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa ataka wabunge, mawaziri wabanwe

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA) ameitaka Serikali kupeleka muswada bungeni kwa ajili kutungwa sheria ya kuwabana wabunge na mawaziri ambao hawasomeshi watoto wao wala kutibiwa ndani ya...

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe

 Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, al maarufu kama RED BRIGADE, wakila kiapo cha utii, mbele ya Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, jijini Mwanza siku ya Jumamosi Februari 28, 2015. Kiapo hicho kinafuatia kukamilika kwa mafunzo ya kiulinzi na usalama kwa vijana hao. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge awabana mawaziri wawili, DC Kiteto

Mbunge wa Konde, Khatibu Said Ally (CUF), jana alimlipua bungeni, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kuwa ni mmoja kati ya vinara watatu wa uchochezi nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ataka wasilipwe posho

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ameshauriwa kumuandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kuomba kuvunjwa kwa bunge hilo linaloendelea mjini hapa endapo wajumbe wake watashindwa kuanza kujadili rasimu Jumatatu ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge ataka Bunge lisitishwe

Mbunge wa Kisesa, Luhaga MpinaKUTOKANA na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kuidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 90 za dawa hatua inayozifanya hospitali nyingi nchini kukosa huduma hiyo na kuleta madhara kwa wagonjwa, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), ameomba Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge ulioanza jana mjini hapa kuahirishwa ili fedha walizopaswa kulipwa wabunge zitumike kununua dawa kuokoa wagonjwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka ahadi za JK zifutwe

MBUNGE wa Viti Maalumu Rebeca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kuzifuta ahadi zote zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kuomba kura mwaka 2010 kwa madai kuwa hazitekelezeki. Mngodo alitoa kauli...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa

Mbunge wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (Chadema) ameitaka Serikali kupeleka bungeni haraka sheria ya uhujumu uchumi ili ifanyiwe marekebisho ya kuongezewa nguvu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka sheria ya majaji itumike

MBUNGE wa Viti Maalumu, Diana Chilolo (CCM), ameihoji serikali kutoanza kutumika sheria ya majaji iliyotungwa na Bunge na kuainisha haki na marupurupu ya majaji.  Mbunge huyo mbali na kuhoji suala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani