Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge awabana mawaziri wawili, DC Kiteto

Mbunge wa Konde, Khatibu Said Ally (CUF), jana alimlipua bungeni, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kuwa ni mmoja kati ya vinara watatu wa uchochezi nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu atimua mawaziri wawili Israel

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amewatimua mawaziri wawili kwa tuhuma za kula njama dhidi yake

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri wawili CUF watupwa kura za maoni

>Mawaziri wawili wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kutoka CUF na wabunge wengine wakongwe wa chama hicho wamepigwa mwereka kwenye kura za maoni za kutafuta wagombea wa nafasi za uwakilishi na ubunge kwa majimbo 50 ya Zanzibar.

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbunge Chadema ataka msaada wa mawaziri

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Simiyu (Chadema) Gimbi Masaba amemuomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba kuweka mikakati ya kudhibiti migogoro ya wakulima na wafugaji.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete awabana viongozi

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda shule, wanakwenda bila kukosa, hata kama hawana uwezo wa kumudu mahitaji maalumu ya shule.

 

10 years ago

Mwananchi

Simbachawene awabana Tanesco

>Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amewaomba radhi Watanzania kwa kero ya huduma mbovu za umeme kwa njia ya mtandao, huku akisema hali ya upatikanaji umeme kwa njia hiyo sasa imerejea katika kiwango cha kuridhisha kupitia vituo mbalimbali.

 

11 years ago

IPPmedia

Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto


Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...

 

10 years ago

Habarileo

RC awabana watendaji maabara za sekondari

Mkuu Mkoa wa Singida, Dk Parseko KoneMKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amewataka viongozi wa CCM na watendaji katika Manispaa ya Singida kujiandaa kuachia ngazi kwenye nafasi zao iwapo watashindwa kukamilisha ujenzi wa maabara za shule za sekondari katika maeneo yao ifikapo Oktoba 15, mwaka huu.

 

9 years ago

Michuzi

TIMUATIMUA YATUA MNADA WA PUGU, MWIGULU ASHIRIKIANA NA MAWAZIRI WAWILI KUTATUA KERO MACHINJIO YA PUGU

Picha na Maelezo na Festo Sanga Ile kauli ya HAPA KAZI TU imeendelea kutumika vizuri kwa mawaziri wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia tukio la mawaziri watatu kufika eneo la Machinjio ya Vingunguti kwa ajili ya kutatua kero zinazowakabili wananchi wanaotumia eneo hilo kwa shughuli za kuchinja mifugo. Awali,Mhe Mwigulu Nchemba alifanya ziara ya kushitukiza usiku wa tar 01/01/2016 katika machinjio hayo na kukutana na madudu ya kutafunwa kwa fedha za ushuru unaokusanywa kwenye mifugo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani