Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete awabana viongozi

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda shule, wanakwenda bila kukosa, hata kama hawana uwezo wa kumudu mahitaji maalumu ya shule.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simbachawene awabana Tanesco

>Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amewaomba radhi Watanzania kwa kero ya huduma mbovu za umeme kwa njia ya mtandao, huku akisema hali ya upatikanaji umeme kwa njia hiyo sasa imerejea katika kiwango cha kuridhisha kupitia vituo mbalimbali.

 

10 years ago

Habarileo

RC awabana watendaji maabara za sekondari

Mkuu Mkoa wa Singida, Dk Parseko KoneMKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amewataka viongozi wa CCM na watendaji katika Manispaa ya Singida kujiandaa kuachia ngazi kwenye nafasi zao iwapo watashindwa kukamilisha ujenzi wa maabara za shule za sekondari katika maeneo yao ifikapo Oktoba 15, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge awabana mawaziri wawili, DC Kiteto

Mbunge wa Konde, Khatibu Said Ally (CUF), jana alimlipua bungeni, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kuwa ni mmoja kati ya vinara watatu wa uchochezi nchini.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak O bama.  Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani  ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC.… ...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak Obama Julai 5, 2014. Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani  ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC  leo Julai 6, 2014.  Sehemu ya wajumbe wa Mkutano wa Viongozi wa Afrika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete na viongozi wa dini

“TUNATAKA katiba ya nchi na si ya chama chochote,” alisikika akisema Waziri wa Katiba na Sheria, Dk.  Asha-Rose Migiro wakati anaapishwa. Je, maneno hayo ni kutoka moyoni au mdomoni?  Ni kweli katiba tunayoitaka si...

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete awaonya viongozi wa dini

kikweteNa Kadama Malunde, Shinyanga

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kutoruhusu siasa kufanyika kwenye makanisa yao kwani hali hiyo italifanya taifa liingie kwenye machafuko.

Aliyasema hayo jana wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu mpya wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Liberatus Sangu, iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mama Mwenye Huruma la Ngokolo mjini hapa na kuongozwa na Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.

Rais Kikwete...

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete awajia juu viongozi wanaoangusha michezo

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa viongozi wengi wa michezo hawana mpango wa kuendelea michezo na badala yake wako katika nafasi hizo kwa ajili ya kusaka sifa zao binafsi.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD

Na   Magreth Kinabo, Dodoma
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho  Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
 Kauli  hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John  Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi  wa   katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani