Simbachawene awabana Tanesco
>Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amewaomba radhi Watanzania kwa kero ya huduma mbovu za umeme kwa njia ya mtandao, huku akisema hali ya upatikanaji umeme kwa njia hiyo sasa imerejea katika kiwango cha kuridhisha kupitia vituo mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
11 years ago
Habarileo26 Mar
Kikwete awabana viongozi
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda shule, wanakwenda bila kukosa, hata kama hawana uwezo wa kumudu mahitaji maalumu ya shule.
10 years ago
Habarileo30 Aug
RC awabana watendaji maabara za sekondari
MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amewataka viongozi wa CCM na watendaji katika Manispaa ya Singida kujiandaa kuachia ngazi kwenye nafasi zao iwapo watashindwa kukamilisha ujenzi wa maabara za shule za sekondari katika maeneo yao ifikapo Oktoba 15, mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi17 May
Mbunge awabana mawaziri wawili, DC Kiteto
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Simbachawene awaonya wajumbe
MJUMBE wa Bunge Maalumu, George Simbachawene, amewaonya wajumbe wenzake waache kumbeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba na rasimu ya Katiba iliyotolewa na tume hiyo. Simbachawene alitoa...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Simbachawene: Madini yaliyochimbwa ni 10%
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema bado Tanzania ina utajiri mkubwa wa madini kwani yaliyochimbwa ni asilimia 10 tu huku asilimia 90 yakiwa chini ya ardhi.
10 years ago
Habarileo28 Jan
Tanzania Kwanza yamfagilia Simbachawene
KAMATI ya Tanzania Kwanza, Nje ya Bunge Maalumu la Katiba, imesema ina imani na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene na kwamba ataimudu wizara hiyo.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
CEOrt yawapongeza Wasira, Simbachawene
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s8HEDiJOOdI/VMY2XrGKQNI/AAAAAAAG_kM/O-Koj1P5LHE/s72-c/DSC_0198.jpg)
Simbachawene awataka watanzania wamuamini
Waziri wa Nishati na Madini ,George Simbachawene amesema kuwa watanzania wamuamini ataendeleza kwa kasi ile ile katika kuwafikishia wananchi maendeleo kupitia sekta za nishati na madini.
Hayo ameyasema leo wakati alipoanza kazi rasmi katika Wizara hiyo akichukua nafasi ya Profesa Sospeter Muhogo aliyejiuzulu wiki iliyopita,amesema kila mtu sio mkamilifu hata mitume watu wengine hawakumuamini.
Simbachawene amesema ana uzoefu wa kufanya kazi na kuachana...