Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simbachawene awabana Tanesco

>Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amewaomba radhi Watanzania kwa kero ya huduma mbovu za umeme kwa njia ya mtandao, huku akisema hali ya upatikanaji umeme kwa njia hiyo sasa imerejea katika kiwango cha kuridhisha kupitia vituo mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.

Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete awabana viongozi

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda shule, wanakwenda bila kukosa, hata kama hawana uwezo wa kumudu mahitaji maalumu ya shule.

 

10 years ago

Habarileo

RC awabana watendaji maabara za sekondari

Mkuu Mkoa wa Singida, Dk Parseko KoneMKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amewataka viongozi wa CCM na watendaji katika Manispaa ya Singida kujiandaa kuachia ngazi kwenye nafasi zao iwapo watashindwa kukamilisha ujenzi wa maabara za shule za sekondari katika maeneo yao ifikapo Oktoba 15, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge awabana mawaziri wawili, DC Kiteto

Mbunge wa Konde, Khatibu Said Ally (CUF), jana alimlipua bungeni, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kuwa ni mmoja kati ya vinara watatu wa uchochezi nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simbachawene awaonya wajumbe

MJUMBE wa Bunge Maalumu, George Simbachawene, amewaonya wajumbe wenzake waache kumbeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba na rasimu ya Katiba iliyotolewa na tume hiyo.  Simbachawene alitoa...

 

9 years ago

Habarileo

Simbachawene: Madini yaliyochimbwa ni 10%

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema bado Tanzania ina utajiri mkubwa wa madini kwani yaliyochimbwa ni asilimia 10 tu huku asilimia 90 yakiwa chini ya ardhi.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania Kwanza yamfagilia Simbachawene

KAMATI ya Tanzania Kwanza, Nje ya Bunge Maalumu la Katiba, imesema ina imani na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene na kwamba ataimudu wizara hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

CEOrt yawapongeza Wasira, Simbachawene

Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi Tanzania (CEOrt), umewapongeza mawaziri George Simbachawene wa Nishati na Madini na Steven Wasira wa Kilimo na Chakula kwa kuteuliwa kuziongoza wizara hizo.

 

10 years ago

Michuzi

Simbachawene awataka watanzania wamuamini

Na Chalila Kibuda, Globu ya jamii
Waziri wa Nishati na Madini ,George Simbachawene amesema kuwa watanzania wamuamini ataendeleza kwa kasi ile ile katika kuwafikishia wananchi maendeleo kupitia sekta za nishati na madini.
Hayo ameyasema leo wakati alipoanza kazi rasmi katika Wizara hiyo akichukua nafasi ya Profesa Sospeter Muhogo aliyejiuzulu wiki iliyopita,amesema kila mtu sio mkamilifu hata mitume watu wengine hawakumuamini.
Simbachawene amesema ana uzoefu wa kufanya kazi na kuachana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani