Tanzania Kwanza yamfagilia Simbachawene
KAMATI ya Tanzania Kwanza, Nje ya Bunge Maalumu la Katiba, imesema ina imani na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene na kwamba ataimudu wizara hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cT_Dbg3aXss/XlU9uOb7C2I/AAAAAAALfVA/Zgp2BOQJKc85CysLpmBdvdIRvwNILR8zgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE, ATEMBELEWA NA BALOZI WA UJERUMANI NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cT_Dbg3aXss/XlU9uOb7C2I/AAAAAAALfVA/Zgp2BOQJKc85CysLpmBdvdIRvwNILR8zgCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-r72cNgw2Pgs/XlU9uU_UJkI/AAAAAAALfVI/dplr2Fl2iSs4pv87Da7f00FbZtXmaVAMwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B2.jpg)
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa Kwanza 1967 Katika Historia ya Tanzania
1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na
muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua
taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHwNqr8Y6ko/VoPDvyXmpvI/AAAAAAAAPF0/p72Mg51KTEA/s1600/shayo67.jpg)
Kutokana na maadali na utamaduni ya mtanzania serikali ililazimika
kuyapiga marufuku mashindano hayo ilipofika tu mwaka 1967, kabla ya Rais
wa awamu ya pili Alhaj Ali...
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA GE OIL & GAS, FLORENCE ITALY WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE NA MKURUGENZI WA TPDC JAMES MATARAGIO WASHIRIKI
11 years ago
Habarileo22 Mar
Kikwete- Tanzania kwanza
RAIS Jakaya Kikwete amewasihi wajumbe wa Bunge maalum kaulimbiu yao iwe Tanzania kwanza na si vyama vyao vya siasa au makundi wanavyoviwakilisha kwenye Bunge hilo. Aliwaambia wajumbe hao jana kuwa misimamo ya vyama ambavyo wajumbe wamepewa na vyama vyao sio jambo baya kama ni suala la kujenga lakini kama ni suala la kubomoa misimamo hivyo haifai.
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png?width=640)
KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!
10 years ago
Mwananchi09 Jul
WB: Tanzania ijenge viwanda kwanza
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Tanzania yapata dhahabu ya kwanza
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mpiga kura wa kwanza Kinondoni Tanzania