Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CEOrt yawapongeza Wasira, Simbachawene

Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi Tanzania (CEOrt), umewapongeza mawaziri George Simbachawene wa Nishati na Madini na Steven Wasira wa Kilimo na Chakula kwa kuteuliwa kuziongoza wizara hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

CEOrt: Impunity, graft on the rise

>The CEO Roundtable of Tanzania (CEOrt) has expressed concern over  corruption and impunity,  noting that these tendencies undermine the nation’s economic development efforts.

 

5 years ago

Michuzi

MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.

Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tume ya uchaguzi yawapongeza waandishi TZ

Tume ya uchaguzi nchini Tanzania imeelezea uzoefu wake wa kuendesha chaguzi nchini humo na kudai kuwa mwaka huu imepata ushirikiano mkubwa kutoka kwa vyombo vya habari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAFF yawapongeza wasanii Hamadombe

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifamba, amewapongeza wasanii wa kundi la sanaa za maigizo la Hamadombe la jijini Dar es Salaam, kwa juhudi zao za kuuza kazi...

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAWAPONGEZA WABUNGE NA MADIWANI

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limetuma salamu za pongezi kwa viongozi wa mpira wa miguu nchini waliochaguliwa kuwa wabunge na madiwani katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, 2015.Viongozi waliochaguliwa katika nafasi ya Ubunge ni John Kadutu – mbunge wa Ulyankulu – Tabora, (mjumbe wa mkutano mkuu kutoka Mwanza) na Alex Gashaza – mbunge wa Ngara (Makamu mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kagera)Aidha waliochaguliwa Udiwani katika maeneo yao ni Khalid Abdallah (Mjumbe wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marsh Academy yawapongeza Mbwana Samatta, Ulimwengu

KITUO cha kuibua na kukuza vipaji vya vijana wadogo cha Marsh Soccer Academy cha jijini Mwanza, kimewapongeza wachezaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kwa kuonyesha moyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani