Tume ya uchaguzi yawapongeza waandishi TZ
Tume ya uchaguzi nchini Tanzania imeelezea uzoefu wake wa kuendesha chaguzi nchini humo na kudai kuwa mwaka huu imepata ushirikiano mkubwa kutoka kwa vyombo vya habari.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Avt5SXuUe2g/U7Jq0iGG9pI/AAAAAAAFt5k/ZV76LaqlcuA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WAJUMBE WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI WAOMNGEA NA WAANDISHI WA HABARI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Avt5SXuUe2g/U7Jq0iGG9pI/AAAAAAAFt5k/ZV76LaqlcuA/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kFRtuM3Ig9k/U7Jq0l-Kw4I/AAAAAAAFt5o/1yMpda-wJDE/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo02 Jan
TAARIFA YA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI KWA WAANDISHI WA HABARI LEO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/2.jpg)
Ndugu Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Uchaguzi, Watendaji wa Tume, Mabibi...
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]
The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
GPLTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATAJA TAREHE YA UCHAGUZI LUSHOTO, ULANGA MASHARIKI
9 years ago
GPL15 Sep
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10