Mawaziri wawili CUF watupwa kura za maoni
>Mawaziri wawili wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kutoka CUF na wabunge wengine wakongwe wa chama hicho wamepigwa mwereka kwenye kura za maoni za kutafuta wagombea wa nafasi za uwakilishi na ubunge kwa majimbo 50 ya Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Mawaziri watano waanguka kura za maoni
Kishindo cha kura za maoni ndani ya CCM kimeendelea kuwakumba baadhi ya vigogo wa chama hicho baada ya jana mawaziri wengine watano kuanguka.
10 years ago
Mwananchi06 Feb
CUF yaweka kizingiti kingine Kura ya Maoni
>Wakati Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar akisubiri Sheria ya Kura ya Maoni iwasilishwe kwenye chombo hicho Machi kwa ajili ya kuridhiwa, CUF imesema haipo tayari kuhalalisha sheria yoyote itakayotumika kupitisha Katiba Inayopendekezwa.
11 years ago
Mwananchi11 Oct
Vyama vya CCM, CUF wavutana kura ya maoni Zanzibar
Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema kitafanya kampeni maalumu kuhakikisha kura ya maoni ya Katiba ya Muungano inashinda Zanzibar, Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kinajipanga kufanya kampeni nzito kupinga rasimu hiyo.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
CCM, CUF kuridhiana kura ya maoni ya Katiba ni faida kwa Wazanzibar
Ni ukweli usiopingika kwa miaka mingi viongozi wa kisiasa wa CCM na CUF upande wa Zanzibar kwa pamoja, wamekuwa wakipigania suala la mafuta na gesi asili liondoshwe katika orodha ya mambo ya Muungano ili Visiwa vya Zanzibar vipate nguvu za kujijenga kiuchumi.
10 years ago
Michuzi
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263

10 years ago
Vijimambo
Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!

Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Maoni ya Watanzania kuhusu kura za maoni
Watanzania wamegawanyika kuhusu kura za maoni ambazo zinafanywa nchini humo huku uchaguzi mkuu ukikaribia.
10 years ago
Michuzi
wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania