Mawaziri watano waanguka kura za maoni
Kishindo cha kura za maoni ndani ya CCM kimeendelea kuwakumba baadhi ya vigogo wa chama hicho baada ya jana mawaziri wengine watano kuanguka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s72-c/1.png)
Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s640/1.png)
Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Wabunge 51 waanguka kura za maoni
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Kabaka, Nyangwine waanguka kura za maoni
10 years ago
Habarileo05 Aug
Waziri mwingine, wabunge 4 waanguka kura za maoni CCM
SIKU mbili baada ya mawaziri watano kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM, waziri mwingine, Gaudentia Kabaka anayeshughulikia Kazi na Ajira, naye amedondoshwa katika jimbo la Tarime Mjini.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4A0Y8sFnLoI/VbX9JWDCy_I/AAAAAAABS04/F0iDY0TCrkM/s72-c/pr-559x520.jpg)
KYSHER, PROF JAY WAPETA KWENYE KURA ZA MAONI UBUNGE, WEMA SEPETU, WASTARA WAANGUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4A0Y8sFnLoI/VbX9JWDCy_I/AAAAAAABS04/F0iDY0TCrkM/s400/pr-559x520.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 May
Mawaziri wawili CUF watupwa kura za maoni
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Mawaziri waanguka
Na Waandishi Wetu, Dar, Mikoani
MAWAZIRI mbalimbali waliokuwa wanatetea nafasi zao za ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameangushwa katika kinyang’anyiro hicho.
Walioangushwa ni pamoja na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira aliyekuwa akitetea Jimbo la Bunda Mjini.
Wasira ameangushwa na Esther Bulaya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Wengine ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Kebwe Steven Kebwe (Serengeti) aliyeangushwa na Marwa Chacha Ryoba wa...
9 years ago
Habarileo15 Aug
Mawaziri 11 waanguka CCM
SASA ni dhahiri kuwa mawaziri 11 wa Serikali ya Awamu ya Nne inayomaliza muda wake, wametoswa katika mbio za kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati yao wakiwemo watatu ambao kura katika majimbo yao zilirudiwa baada ya kulalamikiwa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)