Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kabaka, Nyangwine waanguka kura za maoni

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine wameshindwa katika kura za maoni za ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tuhuma za Kabaka, Nyangwine zaahirisha kura za maoni Tarime

Wakati matokeo ya kura za maoni yakizizidi kutangazwa, vituko na mizengwe imeendelea kutawala, huku uchaguzi ukiahirishwa katika majimbo ya Tarime na Tarime Vijijini baada ya kubainika kuwapo kura feki zilizokwishapigwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge 51 waanguka kura za maoni

Wakati vyombo vya juu vya baadhi ya vyama vya siasa vikiwa vimeanza hatua za mwisho za kupitisha wagombea wa ubunge na udiwani tayari kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, hadi juzi wabunge 51 walikuwa wameanguka kwenye kura za maoni za ndani ya vyama vyao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri watano waanguka kura za maoni

Kishindo cha kura za maoni ndani ya CCM kimeendelea kuwakumba baadhi ya vigogo wa chama hicho baada ya jana mawaziri wengine watano kuanguka.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri mwingine, wabunge 4 waanguka kura za maoni CCM

SIKU mbili baada ya mawaziri watano kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM, waziri mwingine, Gaudentia Kabaka anayeshughulikia Kazi na Ajira, naye amedondoshwa katika jimbo la Tarime Mjini.

 

10 years ago

Daily News

Kabaka, Nyangwine experience defeat in Tarime


Kabaka, Nyangwine experience defeat in Tarime
Daily News
Minister for Labour and Employment Ms Gaudensia Kabaka has been defeated in preferential elections for the newly-created Tarime Urban constituency. The winner of the polls is Mr Michael Kembaki who collected 3,908 votes against Ms Kabaka's 2,411.

 

10 years ago

Vijimambo

KYSHER, PROF JAY WAPETA KWENYE KURA ZA MAONI UBUNGE, WEMA SEPETU, WASTARA WAANGUKA

 Weekend hii kulikuwa kuna heka heka ya uchaguzi wa kura za maoni ndani ya vyama mbalimbali, ili kuwezesha kupatikana kwa wawakilishi wao katika ngazi mbalimbali uchaguzi mkuu 2015.Mwaka huu tumeona pia muamko mkubwa kwa wasanii, na wadau kadhaa kujitosa kwenye medani za siasa.Taarifa ikufikie kuwa tayari wasanii kadhaa wameshajua hatma yao weekend hii, katika upande wa wasanii Wema Sepetu, Khadija “Kysher” Shaaban, Wastara Juma waliokuwa wakiwania kuwakilisha mikoa mbalimbali Ubunge viti...

 

10 years ago

Daily News

Kabaka, Nyangwine deny involvement in ticked votes


Kabaka, Nyangwine deny involvement in ticked votes
Daily News
LABOUR and Employment Minister, Ms Gaudensia Kabaka and Tarime incumbent legislator Mr Nyambari Nyangwine, have denied involvement on ballot papers alleged to have illegally been voted before CCM nomination polls on Saturday morning.

 

10 years ago

Vijimambo

Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!


Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani