Kabaka, Nyangwine waanguka kura za maoni
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine wameshindwa katika kura za maoni za ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Tuhuma za Kabaka, Nyangwine zaahirisha kura za maoni Tarime
Wakati matokeo ya kura za maoni yakizizidi kutangazwa, vituko na mizengwe imeendelea kutawala, huku uchaguzi ukiahirishwa katika majimbo ya Tarime na Tarime Vijijini baada ya kubainika kuwapo kura feki zilizokwishapigwa.
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Wabunge 51 waanguka kura za maoni
Wakati vyombo vya juu vya baadhi ya vyama vya siasa vikiwa vimeanza hatua za mwisho za kupitisha wagombea wa ubunge na udiwani tayari kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, hadi juzi wabunge 51 walikuwa wameanguka kwenye kura za maoni za ndani ya vyama vyao.
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Mawaziri watano waanguka kura za maoni
Kishindo cha kura za maoni ndani ya CCM kimeendelea kuwakumba baadhi ya vigogo wa chama hicho baada ya jana mawaziri wengine watano kuanguka.
10 years ago
Habarileo05 Aug
Waziri mwingine, wabunge 4 waanguka kura za maoni CCM
SIKU mbili baada ya mawaziri watano kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM, waziri mwingine, Gaudentia Kabaka anayeshughulikia Kazi na Ajira, naye amedondoshwa katika jimbo la Tarime Mjini.
10 years ago
Daily News05 Aug
Kabaka, Nyangwine experience defeat in Tarime
Daily News
Minister for Labour and Employment Ms Gaudensia Kabaka has been defeated in preferential elections for the newly-created Tarime Urban constituency. The winner of the polls is Mr Michael Kembaki who collected 3,908 votes against Ms Kabaka's 2,411.
10 years ago
Vijimambo
KYSHER, PROF JAY WAPETA KWENYE KURA ZA MAONI UBUNGE, WEMA SEPETU, WASTARA WAANGUKA

10 years ago
Daily News03 Aug
Kabaka, Nyangwine deny involvement in ticked votes
Daily News
LABOUR and Employment Minister, Ms Gaudensia Kabaka and Tarime incumbent legislator Mr Nyambari Nyangwine, have denied involvement on ballot papers alleged to have illegally been voted before CCM nomination polls on Saturday morning.
10 years ago
Vijimambo
Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!

Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...
10 years ago
Michuzi
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania