Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo
SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.
Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).
Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo, imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.
Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ar4y1DcmJ9w/VQUefU1C3cI/AAAAAAAHKYk/73EDn6qvn8c/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Serikali yaipongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Kilimo Klub
9 years ago
StarTV18 Dec
Serikali yashauriwa kuanzisha benki kwa waajiriwa binafsi ya mikopo
Serikali imeshauriwa kuanzisha benki ya Vijana ambayo itatoa mikopo kwa vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi pamoja na wasomi mbalimbali wanaotaka kujiajiri wenyewe.
Kukosekana kwa benki hiyo na taasisi za kifedha zinazohudumia vijana kunatajwa kuwa miongoni mwa changamoto inayodumaza hali ya uchumi wa Taifa kutokana na asilimia kubwa ya nguvu kazi ya vijana kutotumika ipasavyo baada ya vijana wengi kukosa ajira katika sekta rasmi.
Asilimia kubwa ya vijana kwa sasa tatizo lao si elimu –...
11 years ago
MichuziBenki ya wanawake, SUMA JKT kuanzisha kilimo cha kisasa ya umwagiliaji
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake, Bi.Margareth Chacha, amewaambia waandishi wa habari hivi karibuni kuwa ubia huo pia utawanufaisha sana wakulima wadogo wadogo ambao wanayazunguka maeneo ya JKT kwani mazao yao watayauza kwa JKT.
“Makubaliano haya ni hatua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Qe1p0Eh-a0/XmlG4fJMsfI/AAAAAAALiq4/VgoM6vL8wHIu3doilczsL3ncQYQnAchDACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2486AAA-768x431.jpg)
SERIKALI KUANZISHA MFUKO MAALUM WA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Qe1p0Eh-a0/XmlG4fJMsfI/AAAAAAALiq4/VgoM6vL8wHIu3doilczsL3ncQYQnAchDACLcBGAsYHQ/s640/IMG_2486AAA-768x431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2489AAA-1024x575.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akizungumza na vijana mjini Chato leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2426AAA-1024x682.jpg)
Sehemu ya washiriki wa kongamano la vijana Chato
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara ya kilimo inakusudia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili kusimamia maendeleo ya mazao ya pamba,tumbaku na korosho.
Ametoa kauli hiyo leo mjini Chato alipokuwa akizunguzma kwenye kongamano la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kqsBSiErKPM/XmD5qLal98I/AAAAAAALhOw/zEZrS6prQgEw654Kq_XFmPP2R5zTbE6yACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Bodi Serikali za Mitaa kuanzisha benki
BODI ya Mikopo ya Serikali za Mitaa nchini inatarajia kuanzisha Benki ya Maendeleo, ili kuweza kukopesha halmashauri mbalimbali nchini kwa ajili ya utekelezaji wa miradi inayolenga kuchochea shughuli za maendeleo....
9 years ago
Mwananchi29 Sep
ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
MO kuanzisha benki ya mikopo kwa wafanyabishara wadogo nchini
CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake.
Na Modewjiblog team
Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015) amebainisha kuwa lengo kuu la kampuni anayoiongoza ya MeTL Group, hadi kufikia mwaka 2022, ni kufikia dola bilioni 5 huku akitarajia kuajiri wafanyakazi zaidi ya Laki moja.
Dewji maarufu...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/DSC_0316.jpg)
MO KUANZISHA BENKI YA MIKOPO KWA WAFANYABISHARA WADOGO NCHINI