Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO


 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiongoza majadiliano wakati wa kongamano la vijana kujadili fursa za kilimo mifugo na uvuvi kwa mikoa ya Tabora,Singida,Dodoma na Kigoma katika ukumbi wa Mtemi Isike Mwanakiyungi leo mjini Tabora. Kijana Raphael Malongo( kushoto)  toka mkoani Singida akitoa ushuhuda wa mafanikio aliyoyapata baada ya mafunzo kwa vitendo toka nchini Benin yaliyomwezesha kuanzisha kilimo biashara na kuajili vijana wenzie Singida.Kulia ni Mwezeshaji wa kongamano...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUANZISHA MFUKO MAALUM WA KILIMO

Naibu Waziri Hussein Bashe akizungumza na vijana wa Mikoa ya Kagera,Shinyanga na Geita wakati wa kongamano la vijana mjini Chato
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akizungumza na vijana mjini Chato leo.
Sehemu ya washiriki wa kongamano la vijana Chato


Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara ya kilimo inakusudia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili kusimamia maendeleo ya mazao ya pamba,tumbaku na korosho.

Ametoa kauli hiyo leo mjini Chato alipokuwa akizunguzma kwenye kongamano la...

 

10 years ago

Michuzi

MGOGORO WA MAENEO YA KILIMO YA VIJIJI VYA ZANZABAR WAISHA

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi Hati  ya umiliki wa eneo la Kilimo kwa Bwana Yuweni Kibwana Nzukwi  Mmoja miongoni mwa wakulima wa Vijiji vya Dole, Ndunduke na Kijichi  baada ya upatikanaji wa ufumbuzi wa mgogoro wa maeneo hayo.  Mkulima Ana Nyaka Buluju wa Dole    akikabidhiwa hati ya umiliki wa eneo la kilimo kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  hapo Skuli ya Wazazi Dole Wilaya ya Magharibi  “A “. Baadhi ya wakulima wa  Vijiji vya...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo

SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.

Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).

Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo,  imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.

Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yaipongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Kilimo Klub

Naibu waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mheshimiwa Godfrey Zambi amezitaka taasisi na mashirika binafsi nchini kubuni mbinu za kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo nchini hususani kuwaendeleza wakulima wadogo ambao idadi yao kubwa wanaishi maeneo ya vijijini.  Mheshimiwa Zambi ametoa wito huo jana wakati akifungua kongamano la simu moja la Kilimo Klub lililoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania na alisema kuwa kuna idadi kubwa ya wakulima wanaishi katika umaskini...

 

5 years ago

Michuzi

WAHITIMU VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO, KUELIMISHA WAKULIMA

SERIKALI imewataka wahitimu wa vyuo vya kilimo kote nchini kutumia fursa ya uhaba wa maafisa ugani ulioko nchini kwa kwenda kutoa elimu kwa wakulima na kuanzisha mashamba ya mfano  kwa wakulima

Akiongea wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima mkoani Arusha, Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba amesema kwamba  maafisa ugani   wafungue mashamba ya mfano na watoe huduma kwa wakulima kama sehemu ya kujiajiri   .

“Sasa hivi kilimo kimebadilika wapo watu ambao wanazunguka kuwatafuta...

 

5 years ago

Michuzi

WAHITIMU WA VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO,KUELIMISHA WAKULIMA





Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka  kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa Golden Rose hivi karibuni kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba akihutubia vijana wakulima wakati wa...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WASHAURIWA KUPIMA VINASABA VYA SIKOSELI KABLA YA KUANZISHA MAHUSIANO NA KUOANA


 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (kulia) akionesha mwongozo wa taifa wa matibabu kwa watu wenye Sikoseli mara baada ya uzinduzi, kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya Taifa Muhimbili prof. Lawrence Museru leo jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiwa na viongozi mbalimbali wa Wizara hiyo pamoja watoto wakionesha mwongozo wa taifa wa matibabu kwa watu wenye Sikoseli mara baada ya...

 

11 years ago

GPL

UNIC YAHAMASISHA VIJANA MKOANI DODOMA KUANZISHA VILABU VYA UMOJA WA MATAIFA MASHULENI‏

Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama, akibadilishana mawazo na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kikuyu Mwl. Zaituni Mkoyi alipotembelea shuleni hapo kwa lengo la kuwahamasisha wanafunzi kuanzisha vilabu vya Umoja wa Mataifa. Katikati ni Mwalimu Mkuu msaidizi wa shule hiyo Bw. Francis Tumaini. Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani