VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiongoza majadiliano wakati wa kongamano la vijana kujadili fursa za kilimo mifugo na uvuvi kwa mikoa ya Tabora,Singida,Dodoma na Kigoma katika ukumbi wa Mtemi Isike Mwanakiyungi leo mjini Tabora.
Kijana Raphael Malongo( kushoto) toka mkoani Singida akitoa ushuhuda wa mafanikio aliyoyapata baada ya mafunzo kwa vitendo toka nchini Benin yaliyomwezesha kuanzisha kilimo biashara na kuajili vijana wenzie Singida.Kulia ni Mwezeshaji wa kongamano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Qe1p0Eh-a0/XmlG4fJMsfI/AAAAAAALiq4/VgoM6vL8wHIu3doilczsL3ncQYQnAchDACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2486AAA-768x431.jpg)
SERIKALI KUANZISHA MFUKO MAALUM WA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Qe1p0Eh-a0/XmlG4fJMsfI/AAAAAAALiq4/VgoM6vL8wHIu3doilczsL3ncQYQnAchDACLcBGAsYHQ/s640/IMG_2486AAA-768x431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2489AAA-1024x575.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akizungumza na vijana mjini Chato leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2426AAA-1024x682.jpg)
Sehemu ya washiriki wa kongamano la vijana Chato
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara ya kilimo inakusudia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili kusimamia maendeleo ya mazao ya pamba,tumbaku na korosho.
Ametoa kauli hiyo leo mjini Chato alipokuwa akizunguzma kwenye kongamano la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wj02qYjk1Uk/VcDGztwjGlI/AAAAAAAHuCE/0dhNBevUjw0/s72-c/372.jpg)
MGOGORO WA MAENEO YA KILIMO YA VIJIJI VYA ZANZABAR WAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj02qYjk1Uk/VcDGztwjGlI/AAAAAAAHuCE/0dhNBevUjw0/s640/372.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-goA94rKGcl8/VcDGzYaI1AI/AAAAAAAHuCA/MldY5sN7h98/s640/378.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tv3ESZ6WlCY/VcDGzzOcnGI/AAAAAAAHuCI/CkTWsM15doE/s640/384.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo
SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.
Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).
Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo, imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.
Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ar4y1DcmJ9w/VQUefU1C3cI/AAAAAAAHKYk/73EDn6qvn8c/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Serikali yaipongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Kilimo Klub
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wX10WJR8ry0/XmB8odz5n8I/AAAAAAALhGI/FxdgKsuM4lg43TbpU-SlKgInG4RkxvQbgCLcBGAsYHQ/s72-c/2eb6b9d7-a039-40f5-ab89-a4ed38e1d888.jpg)
WAHITIMU VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO, KUELIMISHA WAKULIMA
Akiongea wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima mkoani Arusha, Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba amesema kwamba maafisa ugani wafungue mashamba ya mfano na watoe huduma kwa wakulima kama sehemu ya kujiajiri .
“Sasa hivi kilimo kimebadilika wapo watu ambao wanazunguka kuwatafuta...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0376AA-768x512.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO,KUELIMISHA WAKULIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s640/IMG_0376AA-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa Golden Rose hivi karibuni kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_0480AA-1024x639.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2w_Y7iyCJpQ/XuzEs10uXLI/AAAAAAALupY/G9yJ1KBSiOUsN_-EiagHAzp69Gcr_4YswCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B4.55.54%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
VIJANA WASHAURIWA KUPIMA VINASABA VYA SIKOSELI KABLA YA KUANZISHA MAHUSIANO NA KUOANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2w_Y7iyCJpQ/XuzEs10uXLI/AAAAAAALupY/G9yJ1KBSiOUsN_-EiagHAzp69Gcr_4YswCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B4.55.54%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-P9aUnu8e8zk/XuzEtBUKIDI/AAAAAAALupc/67oU63x6NKgwYKGQUOrO2LlBdF8L7jpBACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B4.55.54%2BPM.jpeg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0029.jpg)
UNIC YAHAMASISHA VIJANA MKOANI DODOMA KUANZISHA VILABU VYA UMOJA WA MATAIFA MASHULENI