Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJANA WASHAURIWA KUPIMA VINASABA VYA SIKOSELI KABLA YA KUANZISHA MAHUSIANO NA KUOANA


 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (kulia) akionesha mwongozo wa taifa wa matibabu kwa watu wenye Sikoseli mara baada ya uzinduzi, kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya Taifa Muhimbili prof. Lawrence Museru leo jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiwa na viongozi mbalimbali wa Wizara hiyo pamoja watoto wakionesha mwongozo wa taifa wa matibabu kwa watu wenye Sikoseli mara baada ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUNA MADHARA YA KUISHI PAMOJA KABLA YA KUOANA?

Leo ningependa kuzungumza na wewe msomaji wangu ambaye japokuwa bado hujaoa au kuolewa, unaishi na yule umpendaye, mnapika na kupakua pamoja kwa ahadi kwamba siku zijazo, mtafunga ndoa na kuwa mume na mke halali. Je, kitendo hicho ni sahihi? Kuna madhara gani ya kuishi pamoja kabla ya kuoana? Mila na desturi za Kitanzania, zinaelekeza kwamba mwanaume au mwanamke akifikia umri wa kuoa au kuolewa, hatua ya kwanza ni uchumba rasmi....

 

11 years ago

GPL

KUNA MADHARA YA KUISHI PAMOJA KABLA YA KUOANA?-2

Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu mzuri, kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Mada tuliyokuwa tumeianza wiki iliyopita ilikuwa ikihoji kwamba je, kuna madhara ya kuishi pamoja kabla ya kuoana? Maoni yamekuwa mengi, kila mmoja anasema lake. Wapo ambao wamekubaliana na mimi kwamba si vizuri kuishi pamoja kabla hamjaoana ingawa wapo wengine ambao wamesema ni sawa...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO


 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiongoza majadiliano wakati wa kongamano la vijana kujadili fursa za kilimo mifugo na uvuvi kwa mikoa ya Tabora,Singida,Dodoma na Kigoma katika ukumbi wa Mtemi Isike Mwanakiyungi leo mjini Tabora. Kijana Raphael Malongo( kushoto)  toka mkoani Singida akitoa ushuhuda wa mafanikio aliyoyapata baada ya mafunzo kwa vitendo toka nchini Benin yaliyomwezesha kuanzisha kilimo biashara na kuajili vijana wenzie Singida.Kulia ni Mwezeshaji wa kongamano...

 

11 years ago

GPL

UNIC YAHAMASISHA VIJANA MKOANI DODOMA KUANZISHA VILABU VYA UMOJA WA MATAIFA MASHULENI‏

Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama, akibadilishana mawazo na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kikuyu Mwl. Zaituni Mkoyi alipotembelea shuleni hapo kwa lengo la kuwahamasisha wanafunzi kuanzisha vilabu vya Umoja wa Mataifa. Katikati ni Mwalimu Mkuu msaidizi wa shule hiyo Bw. Francis Tumaini. Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha… ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Watanzania walio nje washauriwa kurejea nyumbani kabla ya Jumamosi

"Watanzania walio nje ya nchi wabaki hukohuko ikizidi Jumamosi, watuache tupumue,"Hamad Rashid waziri wa Afya Zanzibar.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona

New York imetoa wito kwa serikali kutuma vifaa zaidi vya kupima virusi vya corona katika jimbo hilo huku visa vya maambukizi vikiongezeka.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatua za kuchukua kabla ya kuanzisha biashara mpya

Watu wengi wana shauku ya kuanzisha biashara mpya. Inawezekana una wazo kubwa na hata ukimwambia mtu mwingine atakuonyesha dole, ishara kwamba ni wazo zuri na linauza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani