KUNA MADHARA YA KUISHI PAMOJA KABLA YA KUOANA?-2
![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDIPnI3a9dHUAzYzJYoHysj299c4L7SYk73JrUbGhnsTVQ7TQvj*EswXwaP5kwuNi1RsR*zvabOcQa7Hz0zcK7v5/mahaba.jpg)
Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu mzuri, kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Mada tuliyokuwa tumeianza wiki iliyopita ilikuwa ikihoji kwamba je, kuna madhara ya kuishi pamoja kabla ya kuoana? Maoni yamekuwa mengi, kila mmoja anasema lake. Wapo ambao wamekubaliana na mimi kwamba si vizuri kuishi pamoja kabla hamjaoana ingawa wapo wengine ambao wamesema ni sawa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOqqNI6QuXZFcuAgcBojgHWp2x1Ge4pIp2PnVUcvId0tMhLKGiiS5W11Jt656rZ29LN7-JuG-yAeJjXfgz64aqJ2/mahaba.jpg)
KUNA MADHARA YA KUISHI PAMOJA KABLA YA KUOANA?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2w_Y7iyCJpQ/XuzEs10uXLI/AAAAAAALupY/G9yJ1KBSiOUsN_-EiagHAzp69Gcr_4YswCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B4.55.54%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
VIJANA WASHAURIWA KUPIMA VINASABA VYA SIKOSELI KABLA YA KUANZISHA MAHUSIANO NA KUOANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2w_Y7iyCJpQ/XuzEs10uXLI/AAAAAAALupY/G9yJ1KBSiOUsN_-EiagHAzp69Gcr_4YswCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B4.55.54%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-P9aUnu8e8zk/XuzEtBUKIDI/AAAAAAALupc/67oU63x6NKgwYKGQUOrO2LlBdF8L7jpBACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B4.55.54%2BPM.jpeg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVt*M3ju9C8eazW9mZW3xvaZFcv1K7*BDoZufGsAvqEpnA1BeFyYpBotfYV8TPm4u8boVJfXQ*HyfIMMks9EL96/B11.jpg?width=650)
KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Polisi walizimishwa kuishi pamoja Kenya
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpok7HrQrqKYCB1wpBtIYgt0obNl4SobbVgllL7ZXKV69trEgi3CgRbe86jRM2ThISG5zRBSd3zVUvJSDCssa0S/images.jpg?width=650)
DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Saa chache kabla ya kufunga mwaka kuna hii taarifa kutoka Jeshi la Polisi..
Tukiwa tumebakiza masaa machache kabla ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016, Jeshi la Polisi limetoa tahadhari kuelekea mkesha wa mwaka mpya. Katika taarifa ya Jeshi hilo iliyotolewa na msemaji Advera Bulimba imesema wamejipanga vyema kukabiliana na vitendo vya uhalifu vitakavyojitokeza na kuimarisha ulinzi katika fukwe za bahari na maeneo mbalimbali ya starehe. Taarifa hiyo […]
The post Saa chache kabla ya kufunga mwaka kuna hii taarifa kutoka Jeshi la Polisi.. appeared first on...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Utamaduni wa wanawake kuoana.
9 years ago
Bongo510 Oct
Nahreel na Aika wazungumzia mpango wa kuoana