MGOGORO WA MAENEO YA KILIMO YA VIJIJI VYA ZANZABAR WAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj02qYjk1Uk/VcDGztwjGlI/AAAAAAAHuCE/0dhNBevUjw0/s72-c/372.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi Hati ya umiliki wa eneo la Kilimo kwa Bwana Yuweni Kibwana Nzukwi Mmoja miongoni mwa wakulima wa Vijiji vya Dole, Ndunduke na Kijichi baada ya upatikanaji wa ufumbuzi wa mgogoro wa maeneo hayo.
Mkulima Ana Nyaka Buluju wa Dole akikabidhiwa hati ya umiliki wa eneo la kilimo kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif hapo Skuli ya Wazazi Dole Wilaya ya Magharibi “A “.
Baadhi ya wakulima wa Vijiji vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kqsBSiErKPM/XmD5qLal98I/AAAAAAALhOw/zEZrS6prQgEw654Kq_XFmPP2R5zTbE6yACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mgogoro wa Mji Mpya Kigamboni waisha
HATIMAYE mgogoro wa ardhi uliokuwepo kwa muda mrefu baina ya serikali na wakazi wa Kigamboni, umefikia tamati baada ya serikali kukubaliana na wananchi kuhusu uendelezaji wa ardhi kupitia mpango wa Mji Mpya.
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
Wenyeviti wa vijiji watakiwa kufuatilia shughuli zinazofanywa na waganga wa tiba mbadala kwenye maeneo yao
Katibu Mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa (wa kwanza kutoka kulia) akiwasilisha mada mbalimbali kwenye semina elekezi kwa waganga wa tiba mbadala, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na watendaji wa vijiji wa kata ya Kikhonda,tarafa ya Kinyangiri,wilayani Mkalama.
Baadhi ya waganga wa tiba mbadala na viongozi wa serikali za vijiji wa Kata ya Kikhonda wakimsikiliza mtoa mada katika semina elekezi iliyofanyika katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kikhonda.
Polisi kata ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s72-c/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
SHIRIKA LA OXFAM LAKABIDHI VITUO VYA KUSINDIKA NA KUHIFADHI MAZIWA KWA WANAWAKE WA VIJIJI VINNE VYA WILAYA YA NGORONGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXltEgz7LRY/VYJTzLv10QI/AAAAAAAAbXo/ijauTIo2yM4/s640/Stellah-Julius-kutoka-Oxfam-akizungumza-na-wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
9 years ago
MichuziIDARA YA MIPANGO MIJI NA VIJIJI ZANZIBAR YAANDAA MRADI WA KUBORESHA MAENEO MATANO YA WAZI YA MJI WA ZANZIBAR CHINI YA UFADHILI WA SHIRIKA LA SDC LA SWITZERLAND.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OUExx4Ph6UY/XoLVh4XLdEI/AAAAAAALlpI/pxxdb9USpd4Txw3_uQj5zDpP0mLyMwBbwCLcBGAsYHQ/s72-c/km-ASAAAA-768x512.jpg)
KUSAYA AAGIZA WAKALA WA MBEGU ZA KILIMO ASA KUSOGEZA HUDUMA KATIKA MAENEO YA WAKULIMA NCHINI
Na Bashiri Salum,Morogoro.
Wakala wa Mbegu za Kilimo ASA wametakiwa kuanzisha maduka ya mbegu katika maeneo walipo wakulima ili kuwapunguzia gharama ya kuzifuta Morogoro mjini.
Akizungumza na watumishi leo alipotembelea taasisi hiyo Katibu Mkuu Kilimo Bw. Gerald Kusaya amesema ASA ni Taasisi pekee ya mbegu nchini hivyo inatakiwa kuwafika wakulima wote nchini.
Huduma ya mbegu bora inatakiwa na kilia mkulima hivyo ni lazima ASA wafikirie namna ya kushusha huduma zao chini kwa wakulima...
11 years ago
Michuzi18 Jun
10 years ago
Michuzi17 Aug
MKURUGENZI REDIO 5 AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA NA KUANDAA VIPINDI VYA KILIMO
![IMG_0085](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qKxGZqsDbFN0NBDqCJOtDHlKDIHtvAIwDX7eyUvKdeCllMAugiBZG7PVCecC3HJyZn__u77mXAzNV_nQpsay_xV93Hu5a_2tsJgNybVAPq8DmLHTbFIlNvE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/img_0085.jpg?w=627)
![IMG_0073](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/adyolhI3A24XVU4AwfU5JvFjML6U2xsoxQqLY8r-1fr9xbfmdRHbGN4WgstnpIxMwMv9mP433KSLEIiSTe_-SwYMIc4JItAugZsBiK5EDql77Lb11gRF-xg=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/img_0073.jpg?w=627)