WAHITIMU WA VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO,KUELIMISHA WAKULIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0376AA-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa Golden Rose hivi karibuni kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba akihutubia vijana wakulima wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wX10WJR8ry0/XmB8odz5n8I/AAAAAAALhGI/FxdgKsuM4lg43TbpU-SlKgInG4RkxvQbgCLcBGAsYHQ/s72-c/2eb6b9d7-a039-40f5-ab89-a4ed38e1d888.jpg)
WAHITIMU VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO, KUELIMISHA WAKULIMA
Akiongea wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima mkoani Arusha, Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba amesema kwamba maafisa ugani wafungue mashamba ya mfano na watoe huduma kwa wakulima kama sehemu ya kujiajiri .
“Sasa hivi kilimo kimebadilika wapo watu ambao wanazunguka kuwatafuta...
11 years ago
Michuzi17 Feb
WAHITIMU WATAKIWA KUELIMISHA JAMII KUTANGAZA BIDHAA ZA TANZANIA
![DSCF2810](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/AelEzEcI9gQ2vJdIGZVkPbizWvMDDJeLSmNsFEY_VuefwMwtUqxZusTIa9RtdgD9G6Jsv2goqHO1EPEMwvcL5BWwUSggKCmSx5b3deeVUdsK2A=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2810.jpg)
Na Pamela Mollel,Arusha.
Wahitimu katika chuo cha Biashara na Teknohama Arusha (IBICTA) wametakiwa kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kutafuta masoko nje ya nchi kwaajili ya kutangaza bidhaa za Tanzania hali itakayo...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wahitimu wa Vyuo Vikuu nchini watakiwa kumsaidia Rais Dkt. Magufuli kupambana na ufisadi-Dr.Walukani
Proffessa, John Adamson Mwakilima akitunuku Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika Maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA chenye tawi lake Kata ya Mlandizi mkoani hapa mhitimu Walukani Luhamba ambaye ni Ofisa Mfawidhi wa Sumatra Mkoa wa Tanga juzi.
Dr.Walukani Luhamba akipongezwa na Familia yake mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA...
11 years ago
Michuzi18 Jun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kqsBSiErKPM/XmD5qLal98I/AAAAAAALhOw/zEZrS6prQgEw654Kq_XFmPP2R5zTbE6yACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-2048x2023.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU 3,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO SEHEMU ZA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-2048x2023.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waajiri na Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mafunzo wanayopatiwa vijana hao na waajiri, Mkoani Iringa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pic-2.jpg)
Sehemu ya Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zO7YLz8bObk/XtoGHMWPs6I/AAAAAAAC62Y/LNekNKiOFqoUHjAlWLl9WKqLvCgIls8iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs) VIMEFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zO7YLz8bObk/XtoGHMWPs6I/AAAAAAAC62Y/LNekNKiOFqoUHjAlWLl9WKqLvCgIls8iACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Nitaondoa njaa, wakulima watatumia helkopta kumwagilia mashamba, nitajenga vituo maalumu vya Albino na wazee — Rungwe
Mgombea Urais wa CHAUMA,Hashim Rungwe katika pozi tofauti akihutubia wananchi wa Singida mjini jana.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni Mkoani Singida, ambapo aliahidi kuwaondolea wananchi njaa.
Mgombea mwenza wa CHAUMA Issa Abas Husein nae akihutubia wananchi wa Singida mjini.
WANANCHI wakimsikiliza Mgombea Urais wa CHAUMA kwenye kituo cha stendi ya zamani Mjini Singida jana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2762-2048x1365.jpg)
VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_2762-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2910.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2997.jpg)
Katibu ...