Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI KUANZISHA MFUKO MAALUM WA KILIMO

Naibu Waziri Hussein Bashe akizungumza na vijana wa Mikoa ya Kagera,Shinyanga na Geita wakati wa kongamano la vijana mjini Chato
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akizungumza na vijana mjini Chato leo.
Sehemu ya washiriki wa kongamano la vijana Chato


Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara ya kilimo inakusudia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili kusimamia maendeleo ya mazao ya pamba,tumbaku na korosho.

Ametoa kauli hiyo leo mjini Chato alipokuwa akizunguzma kwenye kongamano la...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali kuanzisha mfuko wa Ukimwi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama SERIKALI imeshitukia utegemezi wa wafadhili katika kuhudumia watu wenye virusi vya Ukimwi nchini, ikiwemo utoaji wa dawa za kurefusha maisha (ARVs) na sasa imekubali kuanzisha Mfuko maalumu, utakaowezesha nchi kujitegemea katika kufanikisha huduma hizo.

 

5 years ago

Bongo5

Serikali kuanzisha ‘Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa’

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo iko katika mchakato wa kuanzisha ‘Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa’ ambao una dhima kubwa ya kusaidia kuinua kipato.

Naibu Waziri wa Wizara Utamaduni, Sanaa na Michezo, Annastazia Wambura

Aidha mfuko huo utaongeza tija na weledi kupitia utaratibu wa upatikanaji fedha utakaowekwa ili kuwawezesha wasanii kuzalisha kazi bora za sanaa zenye kukidhi viwango vya masoko ndani na nje ya nchi.

Akijibu swali la Mbunge wa Kinondoni, Maulid Said Mtulia...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo

SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.

Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).

Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo,  imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.

Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO


 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiongoza majadiliano wakati wa kongamano la vijana kujadili fursa za kilimo mifugo na uvuvi kwa mikoa ya Tabora,Singida,Dodoma na Kigoma katika ukumbi wa Mtemi Isike Mwanakiyungi leo mjini Tabora. Kijana Raphael Malongo( kushoto)  toka mkoani Singida akitoa ushuhuda wa mafanikio aliyoyapata baada ya mafunzo kwa vitendo toka nchini Benin yaliyomwezesha kuanzisha kilimo biashara na kuajili vijana wenzie Singida.Kulia ni Mwezeshaji wa kongamano...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yaipongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Kilimo Klub

Naibu waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Mheshimiwa Godfrey Zambi amezitaka taasisi na mashirika binafsi nchini kubuni mbinu za kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo nchini hususani kuwaendeleza wakulima wadogo ambao idadi yao kubwa wanaishi maeneo ya vijijini.  Mheshimiwa Zambi ametoa wito huo jana wakati akifungua kongamano la simu moja la Kilimo Klub lililoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania na alisema kuwa kuna idadi kubwa ya wakulima wanaishi katika umaskini...

 

11 years ago

Habarileo

Kibaha kuanzisha Mfuko wa Elimu

HALMASHAURI ya Mji Kibaha inatarajia kuanzisha Mfuko wa Elimu ili kuweza kuboresha kiwango cha elimu na ufaulu kwa wanafunzi kwa kutoa elimu bora inayokwenda sambamba na ulimwengu wa sayansi na teknolojia.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Al Saed kuanzisha mfuko wa ‘mtoto wa boksi’ Moro

Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Alsaed, Omary Al Saed wa mjini Morogoro anakusudia kuwasiliana na wadau wenzake ili kuanzisha Taasisi ya Nasra Mvungi Foundation, ili kuonyesha namna walivyoguswa na mateso na hatimaye kifo cha mtoto huyo aliyefichwa kwenye boksi kwa muda wa miaka mitatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Asasi kuanzisha vituo mafunzo ya kilimo

ASASI ya wakulima wa mazao  ya  maua na mbogamboga nchini  (TAHA) na Shirika la Misaada la Marekani (USAID), linalofadhili Mpango wa Uzalishaji wa Kilimo Tanzania (TAPP), zimekubaliana kuanzisha vituo vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani