Kibaha kuanzisha Mfuko wa Elimu
HALMASHAURI ya Mji Kibaha inatarajia kuanzisha Mfuko wa Elimu ili kuweza kuboresha kiwango cha elimu na ufaulu kwa wanafunzi kwa kutoa elimu bora inayokwenda sambamba na ulimwengu wa sayansi na teknolojia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Jun
Dk Bilal achangia mil 10/- Mfuko wa Elimu Kibaha
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal ameuchangia Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani kiasi cha Sh milioni 10.
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Kibaha kuanzisha soka la wanawake
KAMPUNI ya Mtali Promotion imewataka wanawake wenye vipaji vya kucheza mpira wa miguu kujitokeza kwa wingi ili waweze kutengeneza timu ya Kibaha Sisters Football Club. Akizungumza na Tanzania Daima wakati...
11 years ago
Michuzi06 May
10 years ago
Habarileo05 Feb
Serikali kuanzisha mfuko wa Ukimwi
SERIKALI imeshitukia utegemezi wa wafadhili katika kuhudumia watu wenye virusi vya Ukimwi nchini, ikiwemo utoaji wa dawa za kurefusha maisha (ARVs) na sasa imekubali kuanzisha Mfuko maalumu, utakaowezesha nchi kujitegemea katika kufanikisha huduma hizo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Qe1p0Eh-a0/XmlG4fJMsfI/AAAAAAALiq4/VgoM6vL8wHIu3doilczsL3ncQYQnAchDACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2486AAA-768x431.jpg)
SERIKALI KUANZISHA MFUKO MAALUM WA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Qe1p0Eh-a0/XmlG4fJMsfI/AAAAAAALiq4/VgoM6vL8wHIu3doilczsL3ncQYQnAchDACLcBGAsYHQ/s640/IMG_2486AAA-768x431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2489AAA-1024x575.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akizungumza na vijana mjini Chato leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2426AAA-1024x682.jpg)
Sehemu ya washiriki wa kongamano la vijana Chato
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara ya kilimo inakusudia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili kusimamia maendeleo ya mazao ya pamba,tumbaku na korosho.
Ametoa kauli hiyo leo mjini Chato alipokuwa akizunguzma kwenye kongamano la...
5 years ago
Bongo514 Feb
Serikali kuanzisha ‘Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa’
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo iko katika mchakato wa kuanzisha ‘Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa’ ambao una dhima kubwa ya kusaidia kuinua kipato.
Naibu Waziri wa Wizara Utamaduni, Sanaa na Michezo, Annastazia Wambura
Aidha mfuko huo utaongeza tija na weledi kupitia utaratibu wa upatikanaji fedha utakaowekwa ili kuwawezesha wasanii kuzalisha kazi bora za sanaa zenye kukidhi viwango vya masoko ndani na nje ya nchi.
Akijibu swali la Mbunge wa Kinondoni, Maulid Said Mtulia...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Al Saed kuanzisha mfuko wa ‘mtoto wa boksi’ Moro
10 years ago
Habarileo08 Dec
Chuo Kikuu cha St. John’s kuanzisha mfuko wa Ufadhili
CHUO Kikuu cha St. John’s cha mjini hapa kitaanzisha mfuko wa ufadhili wa wanafunzi kwa ajili ya kusaidia sehemu ya gharama kwa wanafunzi wenye sifa wasio na uwezo wa kujilipia ada na wasiopata fedha za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.