Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibaha kuanzisha Mfuko wa Elimu

HALMASHAURI ya Mji Kibaha inatarajia kuanzisha Mfuko wa Elimu ili kuweza kuboresha kiwango cha elimu na ufaulu kwa wanafunzi kwa kutoa elimu bora inayokwenda sambamba na ulimwengu wa sayansi na teknolojia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal achangia mil 10/- Mfuko wa Elimu Kibaha

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib BilalMAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal ameuchangia Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani kiasi cha Sh milioni 10.

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.

3

 Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kibaha kuanzisha soka la wanawake

KAMPUNI ya Mtali Promotion imewataka wanawake wenye vipaji vya kucheza mpira wa miguu kujitokeza kwa wingi ili waweze kutengeneza timu ya Kibaha Sisters Football Club. Akizungumza na Tanzania Daima wakati...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Habarileo

Serikali kuanzisha mfuko wa Ukimwi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama SERIKALI imeshitukia utegemezi wa wafadhili katika kuhudumia watu wenye virusi vya Ukimwi nchini, ikiwemo utoaji wa dawa za kurefusha maisha (ARVs) na sasa imekubali kuanzisha Mfuko maalumu, utakaowezesha nchi kujitegemea katika kufanikisha huduma hizo.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUANZISHA MFUKO MAALUM WA KILIMO

Naibu Waziri Hussein Bashe akizungumza na vijana wa Mikoa ya Kagera,Shinyanga na Geita wakati wa kongamano la vijana mjini Chato
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akizungumza na vijana mjini Chato leo.
Sehemu ya washiriki wa kongamano la vijana Chato


Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara ya kilimo inakusudia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili kusimamia maendeleo ya mazao ya pamba,tumbaku na korosho.

Ametoa kauli hiyo leo mjini Chato alipokuwa akizunguzma kwenye kongamano la...

 

5 years ago

Bongo5

Serikali kuanzisha ‘Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa’

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo iko katika mchakato wa kuanzisha ‘Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa’ ambao una dhima kubwa ya kusaidia kuinua kipato.

Naibu Waziri wa Wizara Utamaduni, Sanaa na Michezo, Annastazia Wambura

Aidha mfuko huo utaongeza tija na weledi kupitia utaratibu wa upatikanaji fedha utakaowekwa ili kuwawezesha wasanii kuzalisha kazi bora za sanaa zenye kukidhi viwango vya masoko ndani na nje ya nchi.

Akijibu swali la Mbunge wa Kinondoni, Maulid Said Mtulia...

 

11 years ago

Mwananchi

Al Saed kuanzisha mfuko wa ‘mtoto wa boksi’ Moro

Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Alsaed, Omary Al Saed wa mjini Morogoro anakusudia kuwasiliana na wadau wenzake ili kuanzisha Taasisi ya Nasra Mvungi Foundation, ili kuonyesha namna walivyoguswa na mateso na hatimaye kifo cha mtoto huyo aliyefichwa kwenye boksi kwa muda wa miaka mitatu.

 

10 years ago

Habarileo

Chuo Kikuu cha St. John’s kuanzisha mfuko wa Ufadhili

CHUO Kikuu cha St. John’s cha mjini hapa kitaanzisha mfuko wa ufadhili wa wanafunzi kwa ajili ya kusaidia sehemu ya gharama kwa wanafunzi wenye sifa wasio na uwezo wa kujilipia ada na wasiopata fedha za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani