Dk Bilal achangia mil 10/- Mfuko wa Elimu Kibaha
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal ameuchangia Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani kiasi cha Sh milioni 10.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...
11 years ago
Habarileo11 Feb
Kibaha kuanzisha Mfuko wa Elimu
HALMASHAURI ya Mji Kibaha inatarajia kuanzisha Mfuko wa Elimu ili kuweza kuboresha kiwango cha elimu na ufaulu kwa wanafunzi kwa kutoa elimu bora inayokwenda sambamba na ulimwengu wa sayansi na teknolojia.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s72-c/anna-tibaijuka.jpg)
PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s640/anna-tibaijuka.jpg)
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Walimu Kibaha wadai mil. 30/-
KATIBU wa Chama cha Walimu (CWT) Wilaya ya Kibaha, Elizabeth Thomas, amesema walimu wanakatishwa tamaa ya kufanya kazi kwa bidii kutokana na uhakiki wa madai yao kutokwenda haraka. Thomas alibainisha...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RCD2NUyH8vA/U4h97SPqllI/AAAAAAACifY/op-jg1IubNU/s72-c/New+Picture+(2).png)
Kamati Tendaji ya Taifa ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, yazuru Kibaha, Pwani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RCD2NUyH8vA/U4h97SPqllI/AAAAAAACifY/op-jg1IubNU/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Xb4pVQTdeM/U4h-D2lmyrI/AAAAAAACifg/AKQTBLonCJI/s1600/New+Picture+(3).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tbUli0nLnQE/U4h-D2nAviI/AAAAAAACifk/wXTQxCo3YLE/s1600/New+Picture+(4).png)
10 years ago
MichuziMFUKO WA PENSHENI WA LAPF WASAIDIA UJENZI WA MAABARA KATIKA SHULE YA MIHANDE WILAYANI KIBAHA MKOA WA PWANI
10 years ago
GPLMFUKO WA PENSHENI WA LAPF WASAIDIA UJENZI WA MAABARA KATIKA SHULE YA MIHANDE WILAYANI KIBAHA MKOA WA PWANI
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
MEMBE azindua mfuko wa elimu UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe, amezindua mfuko wake wa elimu katika Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), uitwao ‘Bernad Membe Scholarship’ kwa ajili ya kusaidia...