Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo

HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Harambee ya Bugadea yakusanya mil. 8/-

SHILINGI milioni 8.8 zimekusanywa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Afya cha Buganguzi, wilayani Muleba iliyoratibiwa na Umoja wa Maendeleo ya Buganguzi (Bugadea). Akizungumza katika harambee hiyo iliyofanyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makosa ya barabarani yakusanya mil. 144/-

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya  Dar es Salaam, kupitia kikosi cha usalama barabarani limekusanya sh milioni 144.5 kuanzia Aprili  10 hadi 16 mwaka huu kutokana na makosa ya barabarani....

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yakusanya Sh9 mil kwa dakika 60

 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetumia muda wa saa moja kukusanya zaidi ya Sh9 milioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Madini na Ujenzi: TMAA yaamka sasa, yakusanya mabilioni ya kodi

>Kampuni zinazomiliki migodi mikubwa na ya kati nchini zimeendelea kulipa stahiki mbalimbali za Serikali, ikiwa ni pamoja na kodi ya mapato.

 

10 years ago

Michuzi

TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO

Na Avila Kakingo,Globu ya jamii
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...

 

11 years ago

Mwananchi

‘NHC iondolewe kodi ya majengo’

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekubaliana na kilio cha Shirika la Nyumba kuomba iondolewe kodi kwa lengo la kupunguza gharama za nyumba kwa Watanzania wenye kipato cha chini.

 

9 years ago

Michuzi

Wamiliki wa majengo wahimizwa kulipa kodi

 Afisa Uhusiano wa Manispaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu mikakati ya Manispaa hiyo katika kukusanya Kodi ya majengo ikiwemo kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kulipa kodi pasipo shuruti. Kushoto ni Meneja wa Kodi ya Majengo wa Manispaa hiyo Bw. Kasuja Revelian.

Meneja wa Kodi ya Majengo toka Manispaa ya Ilala Bw. Kasuja Revelian akifafanua kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zitakazochukuliwa na Serikali kwa wale wote watakaoshindwa kulipa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kusanyeni kodi za majengo-Waziri Nchemba

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amezitaka halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji kuongeza mapato kwa kukusanya kodi za majengo badala ya kukimbizana na wafanyabiashara ndogondogo na wajane.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji Msigwa adai CCM inakwepa kodi ya majengo

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameituhumu CCM kuwa ni miongoni mwa taasisi zinazokwepa kulipa kodi ya majengo na kuisababishia hasara Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani