Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamiliki wa majengo wahimizwa kulipa kodi

 Afisa Uhusiano wa Manispaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu mikakati ya Manispaa hiyo katika kukusanya Kodi ya majengo ikiwemo kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kulipa kodi pasipo shuruti. Kushoto ni Meneja wa Kodi ya Majengo wa Manispaa hiyo Bw. Kasuja Revelian.

Meneja wa Kodi ya Majengo toka Manispaa ya Ilala Bw. Kasuja Revelian akifafanua kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zitakazochukuliwa na Serikali kwa wale wote watakaoshindwa kulipa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA


Na Karama Kenyunko Michuzi TV,  
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.

Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo,  Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...

 

9 years ago

MillardAyo

Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…

Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa  kutoka kwa […]

The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akisikiliza risala ya umoja wa wafanyabiashara wa Manispaa ya Sumbawanga iliyokuwa ikisomwa kwake na Mwenyekiti wa umoja huo Ndugu Willington Kiziba Ndyetabura (Kulia). Katika risala hiyo yalikuwepo malalamiko mbalimbali ikiwemo ya matumizi ya mashine za EFD ambapo ni pamoja na gharama kubwa za mataengenezo, Ada ya ukaguzi wa majanga ya moto(Fire), Kupanda mara mbili kwa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wadogo na Ulinzi na Usalama kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Uadilifu wahimizwa ubunifu wa majengo

MWENYEKITI wa Bodi ya Makandarasi (CRB), Dk Ambwene Mwakyusa ameitaka serikali kuangalia madeni ya wakandarasi kwa kazi walizofanya.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wamiliki wa hoteli wahimizwa kukuza utalii Zanzibar

143

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifanya ziara maalum ya kukitembelea Kisiwa cha Bawe kilichopo Magharibi ya Mji wa Zanzibar kuona shughuli za uwekezaji katika sekta ya Utalii. Kulia kwa  Balozi Seif ni:- Waziri wa Habari Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar Mh. Said Ali Mbarouk.

Na Othman Khamis Ame, Visiwani

UONGOZI wa Mradi wa uwekezaji wa sekta ya utalii unaosimamia uendeshaji wa hoteli za Kitalii zilizomo ndani ya visiwa vidogo vidogo vya Bawe na Changuu  {...

 

10 years ago

Habarileo

Wataka wamiliki mgodi Mwadui kulipa deni bil.7/-

MGODI wa almasi wa Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga unaomilikiwa na Kampuni ya Diamond Williamson unadaiwa Sh bilioni 1.6 tangu mwaka 1995 hadi 2007 kama ushuru wa huduma, hali ambayo imeonesha baadhi ya madiwani kuwa na wasiwasi huku wakihoji ni lini fedha hizo zitalipwa.

 

11 years ago

Mwananchi

‘NHC iondolewe kodi ya majengo’

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekubaliana na kilio cha Shirika la Nyumba kuomba iondolewe kodi kwa lengo la kupunguza gharama za nyumba kwa Watanzania wenye kipato cha chini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kusanyeni kodi za majengo-Waziri Nchemba

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amezitaka halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji kuongeza mapato kwa kukusanya kodi za majengo badala ya kukimbizana na wafanyabiashara ndogondogo na wajane.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo

HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani