Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka wamiliki mgodi Mwadui kulipa deni bil.7/-

MGODI wa almasi wa Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga unaomilikiwa na Kampuni ya Diamond Williamson unadaiwa Sh bilioni 1.6 tangu mwaka 1995 hadi 2007 kama ushuru wa huduma, hali ambayo imeonesha baadhi ya madiwani kuwa na wasiwasi huku wakihoji ni lini fedha hizo zitalipwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge: Mgodi Bulyanhulu ushinikizwe kulipa deni

SERIKALI imetakiwa kufanya mazungumzo na mwekezaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, ili iweze kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...

 

9 years ago

Michuzi

Wamiliki wa majengo wahimizwa kulipa kodi

 Afisa Uhusiano wa Manispaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu mikakati ya Manispaa hiyo katika kukusanya Kodi ya majengo ikiwemo kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kulipa kodi pasipo shuruti. Kushoto ni Meneja wa Kodi ya Majengo wa Manispaa hiyo Bw. Kasuja Revelian.

Meneja wa Kodi ya Majengo toka Manispaa ya Ilala Bw. Kasuja Revelian akifafanua kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zitakazochukuliwa na Serikali kwa wale wote watakaoshindwa kulipa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali kulipa deni la watumishi wa umma


WATUMISHI wa Umma wanaidai serikali zaidi ya sh. bilioni nane, ikiwa ni malimbikizo ya madeni.
Hata hivyo, serikali imesema kiasi hicho ni kidogo ikilinganishwa na madai yaliyokuwepo awali, ambapo watumishi walikuwa wakiidai serikali fedha nyingi.
Hayo yameelezwa bungeni jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani, ambapo alisema jitihada zinaendelea kufanywa ili kumaliza deni hilo.
Alikuwa akijibu swali la Masoud Abdalla Salim (Mtambile- CUF), ambaye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali iharakishe kulipa deni la MSD

MOJA ya taarifa iliyopo katika gazeti hili ni ile ya mbunge wa Kisesa, Luaga Mpina (CCM), kuutaka mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, uahirishwe ili fedha zitakazookolewa, zikalipie deni la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yashindwa kulipa deni la IMF

Ugiriki imeshindwa kulipa deni la IMF wakati muda uliokuwa umepangwa kulipa deni hilo ukimalizika

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki kuchelewa kulipa deni IMF

Ugiriki imetangaza kuchelewa kulipa deni la Euro milioni mia tatu ambalo walitakiwa kulilipa shirika la kimataifa la fedha la IMF siku ya Ijumaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muda wayoyoma kwa Ugiriki kulipa deni

Waziri Mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras ametaka wapiga kura kukataa masharti ya wakopeshaji wake. Siku ya kulipa madeni yakaribia

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki kulipa deni la dola milioni 450

Ugiriki inatarajiwa leo Alhamisi kulipa nusu ya deni lake la dola milioni 450 inayodaiwa na shirika la fedha Duniani IMF.

 

10 years ago

CloudsFM

Yanga kulipa deni la Ngasa kwa masharti

HATIMAYE Klabu ya Yanga imekubali kulipa deni analodaiwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa na klabu ya Simba, kwa masharti iwapo tu atakubaliana nao katika baadhi ya mambo likiwamo la mkataba au jambo lingine lolote.

Aidha, Ngassa ameahidi kucheza kwa kiwango katika michuano ya ligi na ya kimataifa na kuwa mchezaji bora iwapo tu uongozi wa klabu hiyo utamsaidia kulipa deni hilo kama ulivyoahidi.

Katika msimu wa 2013/2014, Ngassa alijiunga na Yanga akitokea Simba alikokuwa akicheza kwa mkopo akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani