Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugiriki kulipa deni la dola milioni 450

Ugiriki inatarajiwa leo Alhamisi kulipa nusu ya deni lake la dola milioni 450 inayodaiwa na shirika la fedha Duniani IMF.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki kuchelewa kulipa deni IMF

Ugiriki imetangaza kuchelewa kulipa deni la Euro milioni mia tatu ambalo walitakiwa kulilipa shirika la kimataifa la fedha la IMF siku ya Ijumaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yashindwa kulipa deni la IMF

Ugiriki imeshindwa kulipa deni la IMF wakati muda uliokuwa umepangwa kulipa deni hilo ukimalizika

 

10 years ago

BBCSwahili

Muda wayoyoma kwa Ugiriki kulipa deni

Waziri Mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras ametaka wapiga kura kukataa masharti ya wakopeshaji wake. Siku ya kulipa madeni yakaribia

 

10 years ago

Mwananchi

Marekani yacharuka escrow;Tanzania yakosa mabilioni ya MCC, ni Dola 450 milioni

Wakati Serikali ya Marekani ikisema haitatoa fedha za Changamoto za Milenia (MCC) hadi utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu ufisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow wa Sh306 bilioni utakapofanyiwa kazi, Ikulu imesema, Rais Jakaya Kikwete hatatekeleza agizo hilo kwa shinikizo la msaada huo.

 

10 years ago

Mwananchi

RT yasaka Sh9 milioni kulipa deni la tiketi

Licha ya kuingia kwenye 10 bora ya riadha duniani, Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) linahaha kusaka Dola 5904 (sawa na Sh 9, 446, 400) kulipia deni la tiketi za wanariadha walioiwakilisha nchi kwenye mbio za dunia za nyika.

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA


MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu baada ya kuhukumiwa kulipa faini ya dola milioni 100 ama kifungo cha miaka mitatu jera
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Deni la Ugiriki kujadiliwa tena Brussels

Mawaziri wa fedha kutoka nchi zinazotumia sarafu ya euro wanarejelea mkutano wao kuhusu mkopo kwa nchi ya Ugiriki.

 

10 years ago

Raia Mwema

Deni la Ugiriki si halali, linapaswa lifutwe

TAREHE tisa mwezi huu ilikuwa siku iliyojaa masikitiko kwa wananchi wengi wa Ugiriki.

Nizar Visram

 

9 years ago

BBCSwahili

Deni la Ugiriki,mwiba kwa Angela Merkel

Bunge la Ujerumani limeanza kujadili kuhusu maamuzi ya mwisho ya kulipwa kwa deni la Ugiriki .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani