Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RT yasaka Sh9 milioni kulipa deni la tiketi

Licha ya kuingia kwenye 10 bora ya riadha duniani, Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) linahaha kusaka Dola 5904 (sawa na Sh 9, 446, 400) kulipia deni la tiketi za wanariadha walioiwakilisha nchi kwenye mbio za dunia za nyika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki kulipa deni la dola milioni 450

Ugiriki inatarajiwa leo Alhamisi kulipa nusu ya deni lake la dola milioni 450 inayodaiwa na shirika la fedha Duniani IMF.

 

9 years ago

Mwananchi

USAJILI: Simba yasaka tiketi ya CAF

Baada ya kusota kwa zaidi ya miaka mitatu bila ya kushiriki mashindano ya kimataifa, Simba inaelekea kumaliza tatizo hilo baada ya kufanya usajili wa vikosi viwili bora vya kusaka kucheza mashindano hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wasaka Sh9 milioni leo

Baada ya kuchuana kwa kipindi cha siku tatu, leo wasanii watatu kutoka Tanzania wataibuka na kitita cha Sh9 milioni na tuzo ikiwa watafanikiwa kuwa washindi wa Nyimbo za Amani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yashindwa kulipa deni la IMF

Ugiriki imeshindwa kulipa deni la IMF wakati muda uliokuwa umepangwa kulipa deni hilo ukimalizika

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki kuchelewa kulipa deni IMF

Ugiriki imetangaza kuchelewa kulipa deni la Euro milioni mia tatu ambalo walitakiwa kulilipa shirika la kimataifa la fedha la IMF siku ya Ijumaa.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali kulipa deni la watumishi wa umma


WATUMISHI wa Umma wanaidai serikali zaidi ya sh. bilioni nane, ikiwa ni malimbikizo ya madeni.
Hata hivyo, serikali imesema kiasi hicho ni kidogo ikilinganishwa na madai yaliyokuwepo awali, ambapo watumishi walikuwa wakiidai serikali fedha nyingi.
Hayo yameelezwa bungeni jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani, ambapo alisema jitihada zinaendelea kufanywa ili kumaliza deni hilo.
Alikuwa akijibu swali la Masoud Abdalla Salim (Mtambile- CUF), ambaye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali iharakishe kulipa deni la MSD

MOJA ya taarifa iliyopo katika gazeti hili ni ile ya mbunge wa Kisesa, Luaga Mpina (CCM), kuutaka mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, uahirishwe ili fedha zitakazookolewa, zikalipie deni la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunashangaa wizi IPTL? Tujiandae kulipa deni

HIVI karibuni umefichuliwa ufisadi mkubwa wa dola za Marekani milioni 122 sawa na sh bilioni 200 unaodaiwa kufanywa na vigogo wa serikali. Msusuru mrefu wa majina ya viongozi na watendaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge: Mgodi Bulyanhulu ushinikizwe kulipa deni

SERIKALI imetakiwa kufanya mazungumzo na mwekezaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, ili iweze kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani