Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USAJILI: Simba yasaka tiketi ya CAF

Baada ya kusota kwa zaidi ya miaka mitatu bila ya kushiriki mashindano ya kimataifa, Simba inaelekea kumaliza tatizo hilo baada ya kufanya usajili wa vikosi viwili bora vya kusaka kucheza mashindano hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

RT yasaka Sh9 milioni kulipa deni la tiketi

Licha ya kuingia kwenye 10 bora ya riadha duniani, Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) linahaha kusaka Dola 5904 (sawa na Sh 9, 446, 400) kulipia deni la tiketi za wanariadha walioiwakilisha nchi kwenye mbio za dunia za nyika.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yasaka wapya watano

Huku Simba ikianza mazungumzo na klabu ya FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ili kunasa saini ya mshambuliaji wa timu hiyo, Daniel Lyanga, imebainika kuwa inasaka wapya watano.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yasaka nne bora mgongoni mwa Polisi Moro

Simba leo inashuka kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kukabiliana na wenyeji Polisi Morogoro kutafuta ushindi ambao kwa mara ya kwanza utawawezesha kuingia kwenye nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi pia kujaribu kuondoa jinamizi la sare linalowaandama msimu huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba, Azam ‘watauana’ Caf

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imerudisha matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kuwachapa wapinzani wao, Azam FC mabao 2-1 mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Taifa jijini hapa.

Simba na Azam zipo kwenye vita kali ya kuwania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani, ambapo wekundu hao wameshindwa kukata tiketi ya michuano ya kimataifa toka mwaka juzi waliposhiriki mara ya mwisho.

Azam ambayo mara baada ya mchezo huo imebakiwa na...

 

10 years ago

TheCitizen

Azam, Simba battle for ‘Caf berth’

Defending champions Azam FC clash with Kagera Sugar today in a match that will decide their chances of retaining the Vodacom Premier League title.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam deny Simba Caf spot

Simba Sports Club will have to wait a bit longer before they can make a return to CAF championships.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba revive hopes for Caf spot

Emmanuel Okwi scored a hat-trick to guide Simba SC to a 4-0 thumping of Mgambo JKT at the National Stadium yesterday

 

10 years ago

Mwananchi

Azam mtegoni, Simba yanukia CAF

Simba inapewa nafasi kubwa ya kumaliza nafasi ya pili msimu huu kutokana na Azam kuwa mtegoni iwapo itashindwa kupiga hesabu nzuri dhidi ya Yanga na Mgambo JKT katika mechi zake zinazofuata.

 

11 years ago

Mwananchi

Usajili Simba shaka

Kundi maarufu la Friends Of Simba wamesimamisha zoezi la usajili la wachezaji wa klabu hiyo wakidaiwa kupima kwanza upepo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani