Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba revive hopes for Caf spot

Emmanuel Okwi scored a hat-trick to guide Simba SC to a 4-0 thumping of Mgambo JKT at the National Stadium yesterday

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Simba avenge defeat and revive league title hopes

Ramadhani Singano and Ibrahim Hajib struck to hand Simba SC a 2-1 victory over Kagera Sugar at Kambarage Stadium yesterday.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam deny Simba Caf spot

Simba Sports Club will have to wait a bit longer before they can make a return to CAF championships.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba, Mbeya City battle for third spot

An arduous task awaits relegation-haunted Mgambo JKT when they take on in-form Simba in the Vodacom Premier League at the Mkwakwani Stadium in Tanga this afternoon.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba, Azam ‘watauana’ Caf

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imerudisha matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kuwachapa wapinzani wao, Azam FC mabao 2-1 mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Taifa jijini hapa.

Simba na Azam zipo kwenye vita kali ya kuwania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani, ambapo wekundu hao wameshindwa kukata tiketi ya michuano ya kimataifa toka mwaka juzi waliposhiriki mara ya mwisho.

Azam ambayo mara baada ya mchezo huo imebakiwa na...

 

9 years ago

Mwananchi

USAJILI: Simba yasaka tiketi ya CAF

Baada ya kusota kwa zaidi ya miaka mitatu bila ya kushiriki mashindano ya kimataifa, Simba inaelekea kumaliza tatizo hilo baada ya kufanya usajili wa vikosi viwili bora vya kusaka kucheza mashindano hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam mtegoni, Simba yanukia CAF

Simba inapewa nafasi kubwa ya kumaliza nafasi ya pili msimu huu kutokana na Azam kuwa mtegoni iwapo itashindwa kupiga hesabu nzuri dhidi ya Yanga na Mgambo JKT katika mechi zake zinazofuata.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam, Simba battle for ‘Caf berth’

Defending champions Azam FC clash with Kagera Sugar today in a match that will decide their chances of retaining the Vodacom Premier League title.

 

11 years ago

GPL

Mechi tano za Yanga zaiondoa Simba Caf

Na Sweetbert Lukonge
ENDAPO  Yanga na Azam zitafanikiwa kushinda mechi zake tano kati ya tisa zilizobakiza, zitakuwa zimeinyima Simba nafasi ya kushiriki tena michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf). Msimu uliopita Simba ilikosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo ya kimataifa baada ya kushindwa kufanya vizuri ligi kuu na kuziacha Yanga na Azam zikiiwakilisha Tanzania kwenye michuano hiyo ya...

 

5 years ago

Michuzi

Rais CAF kuwashuhudia Simba na Yanga Taifa

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmed Ahmed anatarajia kuwasili nchini Siku ya Jumamosi Machi 7 kwa mwaliko wa Rais wa TFF.
Ahmad anakuja nchini kwa kwa mara ya kwanza na ataishuhudia mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa Jumapili Machi 8, 2020 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 
Hii ni mara ya kwanza kwa Rais wa CAF kupata nafasi ya kuja nchini na kushuhudia mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayowahusisha watani wa jadi Yanga na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani