Mechi tano za Yanga zaiondoa Simba Caf
![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppqzvoYONixoqv6ShZlux6XyrjFJOpu*XzSsjEMuEzzUTYr0qnm3ULcN*p92CTm4NGYs2PAyn4S4d4lUrWUgRG8/2.jpg?width=650)
Na Sweetbert Lukonge ENDAPOÂ Yanga na Azam zitafanikiwa kushinda mechi zake tano kati ya tisa zilizobakiza, zitakuwa zimeinyima Simba nafasi ya kushiriki tena michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf). Msimu uliopita Simba ilikosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo ya kimataifa baada ya kushindwa kufanya vizuri ligi kuu na kuziacha Yanga na Azam zikiiwakilisha Tanzania kwenye michuano hiyo ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPXF6wGPmSENxAI3VZ5Fop-euvElPS6L1mSu8ZxStNMUohBWjSaX-eq9SvGiL5ZyLu2NqsuPZX7g0ySSvDn4v6a6/phili.jpg)
Phiri apewa mechi tano Simba
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l6WiuXLsJq0/Xl9cNxjFxzI/AAAAAAALg14/nbfaHT9Igq8AnmLpKw0ov_C2kC9dWESgwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B09.48.29.jpeg)
Rais CAF kuwashuhudia Simba na Yanga Taifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-l6WiuXLsJq0/Xl9cNxjFxzI/AAAAAAALg14/nbfaHT9Igq8AnmLpKw0ov_C2kC9dWESgwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B09.48.29.jpeg)
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmed Ahmed anatarajia kuwasili nchini Siku ya Jumamosi Machi 7 kwa mwaliko wa Rais wa TFF.
Ahmad anakuja nchini kwa kwa mara ya kwanza na ataishuhudia mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa Jumapili Machi 8, 2020 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hii ni mara ya kwanza kwa Rais wa CAF kupata nafasi ya kuja nchini na kushuhudia mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayowahusisha watani wa jadi Yanga na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-zf7PzEOOWJFQNcIIcy4579L6*L5Vh5-tfTFf-xlmIuURuvIhvM9NoPMqsI-36mubJW0aNqQ9a61zL8-oSxM*tb/yanganasimba.jpg?width=650)
MECHI YA WABUNGE: YANGA 1, SIMBA 1
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s72-c/MMGM12361.jpg)
VIINGILIO MECHI YA SIMBA NA YANGA VYATAJWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XQCn_2fPI4/VDzpV_BvPsI/AAAAAAAGqbg/IywZulWBHcI/s1600/MMGM12361.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-640PnH7fRoY/VDzpeJxDEKI/AAAAAAAGqbw/Ur8NXKtT7AU/s1600/MMGM1227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wAgZiQLoFyo/VDzpYTkwujI/AAAAAAAGqbo/suxHodK-WMM/s1600/MMGM1231.jpg)
Washabiki...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LXCUWCrbopw/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi-b2oTaCgCuv9B9hbuPObMrWjqxQZP2VgHpuwb9UNK0yjSMRCx3I*ZJv7JbRKlM17qXgXafMRjPjVtD*AaS622v/b050b92331fa6b814abfa1c4a51830f3_L.jpg)
MECHI YA SIMBA, YANGA OKTOBA 12 YAHIRISHWA