Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phiri apewa mechi tano Simba

Kocha mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Nicodemus Jonas
ALIYEWAHI kuwa Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itang’are ‘Mzee Kinesi’, ameibuka na kuwataka wanachama na mashabiki kutokata tamaa kuhusu mwenendo wa kikosi chao, huku akitoa mechi tano ndipo waanze kujadili ubora wa kikosi chao. Simba imeanza ligi kwa kusuasua huku ikiwa haijashinda mechi yoyote, zaidi ya kuambulia sare katika michezo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Phiri apewa mechi mbili Simba SC

Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Goodluck Ngai na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Simba chini ya kamati ya utendaji, umelipa benchi la ufundi la kikosi chao mechi mbili za kubadili mwenendo wa matokeo ya timu na kuhakikisha timu inapata ushindi na kucheza mpira unaovutia. Tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu, Simba imekuwa ikipata matokeo yasiyovutia huku ikicheza michezo mitano na kuambulia pointi tano...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Phiri apewa mechi mbili

WAKATI Benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana...

 

11 years ago

GPL

Mechi tano za Yanga zaiondoa Simba Caf

Na Sweetbert Lukonge
ENDAPO  Yanga na Azam zitafanikiwa kushinda mechi zake tano kati ya tisa zilizobakiza, zitakuwa zimeinyima Simba nafasi ya kushiriki tena michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf). Msimu uliopita Simba ilikosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo ya kimataifa baada ya kushindwa kufanya vizuri ligi kuu na kuziacha Yanga na Azam zikiiwakilisha Tanzania kwenye michuano hiyo ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Gabriel apewa marufuku ya mechi moja

Beki wa Arsenal Gabriel Paulista amepewa marufuku ya mechi moja na kupigwa faini ya pauni 10,000 baada ya kukiri shtaka la shirikisho la soka nchini Uingereza FA la utovu wa nidhamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja

Shirikisho la soka barani Ulaya, limempa adhabu Meneja wa Chelsea Mourinho ya kuikosa mechi moja na kutakiwa kulipa faini ya pauni elfu 40 za uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi

Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia

 

10 years ago

TheCitizen

Simba’s Phiri given ultimatum

Pressure is mounting on Zambian technician Patrick Phiri in Dar es Salaam’s Simba Sports Club as the side’s leadership gave him the ultimatum of winning the next two matches in the on going Tanzania Mainland Premier League, failure of which his contract could be terminated.

 

11 years ago

Dewji Blog

Doris Mole (23) atwaa taji la Miss Singida 2014, apewa kitita cha shilingi laki tano

Huyu ndiye Miss Singida 2014 Doris Mole (23) akiwa na mshindi wa pili Blath Chambo na mshindi wa tatu Lulu Abdul.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

Doris Molel (23) Mwanafunzi katika chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salam anayesomea siasa na Maendeleo ya Jamii mwaka wa tatuametwaa taji la Miss Singida Redds 20014.

Katika shindano hilo lililofanyika jana kwenye ukumbi wa chuo ha Uhazili Mjini hapa Molel, mbali na kutwaa taji hilo alijinyakulia kitita cha shilingi laki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani