Phiri apewa mechi mbili Simba SC
![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMN4fi0k3VOsXqxNhESRB9JqEykxgihkykacbQ-dqeknQUqzbotgJ4z00XYQnsksyhCz2xRZHk3s6VBtmyvLVBuC/phili.jpg)
Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Goodluck Ngai na Wilbert Molandi UONGOZI wa Klabu ya Simba chini ya kamati ya utendaji, umelipa benchi la ufundi la kikosi chao mechi mbili za kubadili mwenendo wa matokeo ya timu na kuhakikisha timu inapata ushindi na kucheza mpira unaovutia. Tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu, Simba imekuwa ikipata matokeo yasiyovutia huku ikicheza michezo mitano na kuambulia pointi tano...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Phiri apewa mechi mbili
WAKATI Benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPXF6wGPmSENxAI3VZ5Fop-euvElPS6L1mSu8ZxStNMUohBWjSaX-eq9SvGiL5ZyLu2NqsuPZX7g0ySSvDn4v6a6/phili.jpg)
Phiri apewa mechi tano Simba
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Gabriel apewa marufuku ya mechi moja
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi
10 years ago
TheCitizen30 Oct
Simba’s Phiri given ultimatum
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Phiri kurudisha heshima Simba
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.
Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.
Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVLH4RhS474YbOZzE71NwFnoA4N7Wi22BN2tSAYKSm*aj75hfumWG*iC2oXZyKsmHLsxMJrZh4xgXIxInvHmgoSV/fili.jpg)
Phiri afunguka wanaoimaliza Simba
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Goran kumrithi Phiri Simba