Phiri apewa mechi mbili
WAKATI Benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMN4fi0k3VOsXqxNhESRB9JqEykxgihkykacbQ-dqeknQUqzbotgJ4z00XYQnsksyhCz2xRZHk3s6VBtmyvLVBuC/phili.jpg)
Phiri apewa mechi mbili Simba SC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPXF6wGPmSENxAI3VZ5Fop-euvElPS6L1mSu8ZxStNMUohBWjSaX-eq9SvGiL5ZyLu2NqsuPZX7g0ySSvDn4v6a6/phili.jpg)
Phiri apewa mechi tano Simba
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Gabriel apewa marufuku ya mechi moja
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Maximo atuma maombi ya mechi mbili kimataifa
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo1.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mkuu wa timu ya Yanga, Marcio Maximo, ametuma maombi kwa uongozi wa klabu hiyo kumtafutia michezo miwili zaidi ya kimataifa kabla ya kuivaa Azam FC Septemba 13 jijini Dar es Salaam, katika mechi ya Ngao ya Hisani.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Baraka Kizuguto alithibitisha kutumwa maombi hayo kwa uongozi.
Kiziguto alisema mchezo wa kwanza wa kimataifa, utachezwa kesho dhidi ya...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Marcio Maximo aomba mechi mbili kuwavaa Azam FC
MKUU wa benchi la ufundi la timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, ameomba kwa uongozi wa klabu hiyo mechi mbili za kirafiki siku ya Jumatano ijayo na Jumapili kabla ya...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)
Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]
The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.