Maximo atuma maombi ya mechi mbili kimataifa
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mkuu wa timu ya Yanga, Marcio Maximo, ametuma maombi kwa uongozi wa klabu hiyo kumtafutia michezo miwili zaidi ya kimataifa kabla ya kuivaa Azam FC Septemba 13 jijini Dar es Salaam, katika mechi ya Ngao ya Hisani.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Baraka Kizuguto alithibitisha kutumwa maombi hayo kwa uongozi.
Kiziguto alisema mchezo wa kwanza wa kimataifa, utachezwa kesho dhidi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Marcio Maximo aomba mechi mbili kuwavaa Azam FC
MKUU wa benchi la ufundi la timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, ameomba kwa uongozi wa klabu hiyo mechi mbili za kirafiki siku ya Jumatano ijayo na Jumapili kabla ya...
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Mechi zaahirishwa kwa sababu ya maombi Zambia
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Phiri apewa mechi mbili
WAKATI Benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMN4fi0k3VOsXqxNhESRB9JqEykxgihkykacbQ-dqeknQUqzbotgJ4z00XYQnsksyhCz2xRZHk3s6VBtmyvLVBuC/phili.jpg)
Phiri apewa mechi mbili Simba SC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMy1MvT5X8/XoIAhYdHAJI/AAAAAAALlmc/5XRQOHAP2J84Oj4QhV3bwCSXPUh9i1a3wCLcBGAsYHQ/s72-c/Deci%252Bpic.jpg)
DPP AWASILISHA MAOMBI MAHAKAMA YA MAFISADI KUTAKA AKAUNTI MBILI ZENYE SHILINGI BILIONI 16.7 ZA UPATU ZIWE MALI YA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMy1MvT5X8/XoIAhYdHAJI/AAAAAAALlmc/5XRQOHAP2J84Oj4QhV3bwCSXPUh9i1a3wCLcBGAsYHQ/s400/Deci%252Bpic.jpg)
MKURUGENZI Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ( Mahakama ya Mafisadi), ya kuomba kutaifishwa kwa akaunti mbili za USD na moja ya EURO zenye jumla ya Shilingi bilioni 16.7 za upatu kuwa mali ya Serikali kutokana na washtakiwa hao raia wa kigeni kutofika mahakamani
Washtakiwa hao ni raia wa Ujerumani Manon Huebenthal na raia wa Uingereza Frank Ricket ambapo...
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Mechi za kimataifa za kirafiki zarindima
9 years ago
Bongo527 Nov
Linah ana collabo mbili za kimataifa kibindoni
![12298833_944662165599178_1629279455_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12298833_944662165599178_1629279455_n-300x194.jpg)
Linah Sanga amesema tayari ameshafanya collabo mbili na wasanii wa kimataifa na amepanga kuzitoa mwakani.
Ameiambia Bongo5 kuwa kazi hizo zitatoka mwakani kutokana na muda uliobaki kila msanii kutaka kutoa wimbo.
“Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa. Nashukuru tayari nimefanikiwa ila siwezi kuziweka wazi nimefanya na nani na nchi gani.
Lakini ni kubwa na nimeshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki. Ila mashabiki wangu sitawaacha hivyo hivyo,...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Malinzi: Kamwe Taifa Stars haitajitoa mechi za kimataifa
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)
Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]
The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.