Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mechi za kimataifa za kirafiki zarindima

Michuano ya kirafiki ya kimataifa imeendelea kupigwa katika viwanja mbalimbali duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kane kuanza mechi ya kirafiki

Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane anatarajiwa kuanza katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa leo

 

11 years ago

GPL

MECHI YA KIRAFIKI NDANDA FC 4-1 JKT RUVU

Picha za timu zote mbili zikimenyena vikali. Gari la Jeshi la timu ya  JKT Ruvu likiwasubiri wachezaji nje ya uwanja.…

 

9 years ago

StarTV

Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio

BEKI JORAM MGEVEKE WA MWADUI FC AKIPAMBANA NA NAHODHA WA SIMBA, MUSSA HASSAN MGOSI KATIKA MECHI YA KIRAFIKI KWENYE UWANJA WA TAIFA ILIYOMALIZIKA KWA SARE YA BILA KUFUNGANA KWENYE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR. ANGALIA PICHA ZAIDI ZA ACTION…

 

 

10 years ago

Mtanzania

Maximo atuma maombi ya mechi mbili kimataifa

Marcio Maximo

Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo

NA JENNIFER ULLEMBO

KOCHA mkuu wa timu ya Yanga, Marcio Maximo, ametuma maombi kwa uongozi wa klabu hiyo kumtafutia michezo miwili zaidi ya kimataifa kabla ya kuivaa Azam FC Septemba 13 jijini Dar es Salaam, katika mechi ya Ngao ya Hisani.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Baraka Kizuguto alithibitisha kutumwa maombi hayo kwa uongozi.

Kiziguto alisema mchezo wa kwanza wa kimataifa, utachezwa kesho dhidi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Malinzi: Kamwe Taifa Stars haitajitoa mechi za kimataifa

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema Tanzania haiwezi kujitoa kwenye mashindano kwa sasa kuhofia rungu la Shirikisho la Soka Ulimwenguni (Fifa).

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Risasi zarindima

Tuna taarifa kuwa magogoni mawakala 20 wamepigwa risasi na kinuni,taarifa zinasema kuwa wabunge na wakilishi wa ccm walio shindwa wamegoma ku sign. Kwa mtipura pia police amepigwa mawe vibaya, na chanzo wananchi walivamiwa na watu wanao […]

The post Risasi zarindima appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Risasi zarindima Dar



 Polisi, genge la mihadarati wapimana ubavu  ‘Wazungu wa unga’ watano watiwa mbaroni 
NA MWANDISHI WETU
MILIO ya risasi ilirindima kwa dakika kadhaa wakati Polisi wa Kikosi cha Kuzuia Dawa za Kulevya, walipokuwa wakiwakamata watu wanaotuhumiwa kuwa vigogo wa dawa za kulevya.
Kundi kubwa la wananchi lililokuwa likishughudia tukio hilo, lililazimika kutawanyika baada ya polisi kufyatua risasi hewani huku watuhumiwa nao wakijibu kwa kufyatua risasi pia.
Habari za kuaminika zinasema polisi hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani