Mechi za kimataifa za kirafiki zarindima
Michuano ya kirafiki ya kimataifa imeendelea kupigwa katika viwanja mbalimbali duniani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Kane kuanza mechi ya kirafiki
11 years ago
GPLMECHI YA KIRAFIKI NDANDA FC 4-1 JKT RUVU
9 years ago
StarTV25 Aug
Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Maximo atuma maombi ya mechi mbili kimataifa
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo1.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mkuu wa timu ya Yanga, Marcio Maximo, ametuma maombi kwa uongozi wa klabu hiyo kumtafutia michezo miwili zaidi ya kimataifa kabla ya kuivaa Azam FC Septemba 13 jijini Dar es Salaam, katika mechi ya Ngao ya Hisani.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Baraka Kizuguto alithibitisha kutumwa maombi hayo kwa uongozi.
Kiziguto alisema mchezo wa kwanza wa kimataifa, utachezwa kesho dhidi ya...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Malinzi: Kamwe Taifa Stars haitajitoa mechi za kimataifa
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Oct
Risasi zarindima
Tuna taarifa kuwa magogoni mawakala 20 wamepigwa risasi na kinuni,taarifa zinasema kuwa wabunge na wakilishi wa ccm walio shindwa wamegoma ku sign. Kwa mtipura pia police amepigwa mawe vibaya, na chanzo wananchi walivamiwa na watu wanao […]
The post Risasi zarindima appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
Risasi zarindima Dar
Polisi, genge la mihadarati wapimana ubavu ‘Wazungu wa unga’ watano watiwa mbaroni
NA MWANDISHI WETU
MILIO ya risasi ilirindima kwa dakika kadhaa wakati Polisi wa Kikosi cha Kuzuia Dawa za Kulevya, walipokuwa wakiwakamata watu wanaotuhumiwa kuwa vigogo wa dawa za kulevya.
Kundi kubwa la wananchi lililokuwa likishughudia tukio hilo, lililazimika kutawanyika baada ya polisi kufyatua risasi hewani huku watuhumiwa nao wakijibu kwa kufyatua risasi pia.
Habari za kuaminika zinasema polisi hao...