Mechi zaahirishwa kwa sababu ya maombi Zambia
Mechi za soka nchini Zambia zilizopangiwa kuchezwa wikendi hii zimeahirishwa kutokana na siku ya kitaifa ya maombi Jumapili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Maximo atuma maombi ya mechi mbili kimataifa
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo1.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mkuu wa timu ya Yanga, Marcio Maximo, ametuma maombi kwa uongozi wa klabu hiyo kumtafutia michezo miwili zaidi ya kimataifa kabla ya kuivaa Azam FC Septemba 13 jijini Dar es Salaam, katika mechi ya Ngao ya Hisani.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Baraka Kizuguto alithibitisha kutumwa maombi hayo kwa uongozi.
Kiziguto alisema mchezo wa kwanza wa kimataifa, utachezwa kesho dhidi ya...
11 years ago
MichuziMECHI YA TWIGA STARS NA ZAMBIA KURUSHWA ‘LIVE’ ZNBC
Mechi hiyo itaanza saa 9 kamili mchana kwa saa za Zambia ambapo Tanzania itakuwa saa 10 kamili jioni huku Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage akiwa tayari ametangaza ‘silaha’ zake kwa mechi hiyo ya kwanza ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bG3N9aSgYVQ/Uv3pXtQxqmI/AAAAAAAFNJI/pgWzcj35flU/s72-c/photo-1.jpg)
MAZUNGUMZO KUHUSU MECHI YA MPIRA WA MIGUU KATI YA TWIGA STARS NA TIMU YA TAIFA YA ZAMBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bG3N9aSgYVQ/Uv3pXtQxqmI/AAAAAAAFNJI/pgWzcj35flU/s1600/photo-1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-LV24WUw2gwE/XpXhejOC5WI/AAAAAAACJ0c/KrQ_Y29vNvUBHe1ULDNDAh2VRPGIeZm9QCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25281%2529.jpeg)
SHULE, VYUO KUENDELEA KUFUNGWA, SHEREHE ZA MEI MOSI, MUUNGANO ZAAHIRISHWA KUTOKANA NA BALAA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LV24WUw2gwE/XpXhejOC5WI/AAAAAAACJ0c/KrQ_Y29vNvUBHe1ULDNDAh2VRPGIeZm9QCLcBGAsYHQ/s320/images%2B%25281%2529.jpeg)
Pia, Waziri Mkuu amesema Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesitisha maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi (Aprili 26) pamoja na Sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi) ili kuepuka msongamano na kuendelea kuzuia virusi vya corona visisambae zaidi.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili...
9 years ago
Habarileo29 Dec
‘Maombi kwa lugha za asili si dhambi’
WAUMINI wa Kanisa Katoliki nchini wametakiwa wakati fulani kutumia lugha za makabila yao wanapofanya maombi binafsi wawapo kanisani.
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Maombi ya asante kwa Museveni Uganda
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/JgroYNuPkq0/default.jpg)