‘Maombi kwa lugha za asili si dhambi’
WAUMINI wa Kanisa Katoliki nchini wametakiwa wakati fulani kutumia lugha za makabila yao wanapofanya maombi binafsi wawapo kanisani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Nadharia za asili ya lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Athari ya lugha za asili katika Kiswahili
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Uandishi lazima uheshimu Lugha Asili
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Maombi ya asante kwa Museveni Uganda
9 years ago
Vijimambo19 Oct
ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 25 Octoba 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda kwa:-WauminiWakatoliki@gmail.com
Kwa niaba ya Fr. Leandry Kimario, ni...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Kubenea kizimbani kwa kutoa lugha chafu
11 years ago
Habarileo11 Mar
Serikali yaonya wauguzi kwa lugha mbaya
SERIKALI imewataka wauguzi nchini kuacha kutoa lugha mbaya kwa wananchi. Badala yake, wametakiwa kuboresha utoaji wa huduma za afya na kuwa wepesi wa kusahihisha mapungufu ili kuhakikisha huduma sahihi zinatolewa.
9 years ago
Bongo Movies16 Oct
Jokate: Lugha ya kiingereza tatizo kwa wanafunzi
Miss Tanzania namba mbili 2006 na mmiliki wa kampuni ya ‘Kidoti’, Jokate Mwegelo aka Jojo, siku chache zilizopita alifanya ziara yake katika shule za secondari jiijini Dar es Salaam kama Jangwani, Azania, Benjamini Mkapa nk na kupokelewa vizuri na Waalimu pamoja na Wanafunzi. Je ziara yako ilifanikiwa kwa kiasi gani na changamoto ipi umeiona kwa wanafunzi?
“Ukweli ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana na Wanafunzi wanapenda sana mziki, huu ni mwanzo tu itakuwa na muendelezo wa kufanya ziara...