Kubenea kizimbani kwa kutoa lugha chafu
Mbunge wa jimbo Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kortini Kisutu, jijini Dar es Salaam leo na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Baraza lasikitishwa lugha chafu za wabunge
BARAZA la Vyama vya Siasa Tanzania, limesikitishwa na hatua inayofanywa na baadhi ya wabunge ambao wanaonyesha tabia zisizoendana na nyadhifa walizopewa na wananchi. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Lugha chafu Chalinze zamkera Lubuva
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema vipo baadhi ya vyama vya siasa vinavyotumia lugha za chuki na zisizokuwa na staha katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Chalinze, mkoani Pwani.
11 years ago
Habarileo27 Mar
LHRC: Wanasiasa acheni lugha chafu
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeomba Msajili wa Vyama vya Siasa, kukaa na vyama vya siasa na kuvitaka viache kutoa lugha ya vitisho, kashfa na ubaguzi wa kijinsia kwenye mikutano ya kampeni.
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Putin atumia lugha chafu kushutumu Uturuki
9 years ago
Habarileo16 Dec
Kubenea kizimbani Dar akituhumiwa kumtusi DC
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutumia lugha ya matusi dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
9 years ago
StarTV16 Dec
Mbunge Saed Kubenea apandishwa kizimbani
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Saed Kubenea jana amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kupandishwa kizimbani akikabiliwa na shitaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili Mkuu wa Serikali Timon Vitalis mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amedai kuwa Desemba 14, 2015 katika kiwanda cha Tooku Garments Company Limited kilichopo Mabibo External Kebenea alitoa lugha chafu dhidi ya Makonda.
Wakili wa serikali Timon...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_3115.jpg?width=650)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU NA MAADILI KWENYE KAMPENI
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
BASATA yaonya wasanii dhidi ya lugha chafu, maadili wakati huu wa kampeni za kisiasa
Katibu Mtendaji, Basata, Godfrey L. Mngereza.
Katika siku za hivi karibuni kumeibuka wimbi la wasanii kuvunja maadili, kukaidi adhabu na kutumia lugha chafu kwa makusudi katika kazi za Sanaa hususan muziki hali ambayo imezua malalamiko, masikitiko na hofu kwa jamii ambayo ni walaji wa kazi za Sanaa.
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi...